• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

WALIMU WAKUU, WENYEVITI BODI ZA SHULE PAMOJA NA WENYEVITI,KAMATIZA UJENZI WATAKIWA KUHIFADHI VIZURI NYARAKA ZA MANUNUZI

Posted on: December 16th, 2020

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndugu Erasto Kiwale amewataka Wenyeviti wa bodi za shule, Wenyeviti wa Kamati za ujezi pamoja na Wakuu wa shule zote za Sekondari na Msingi Manispaa ya Kigamboni kuzingatia taratibu za manunuzi wakati wa ujenzi wa miradi ya maendeleo.

Ndugu Kiwale ametoa wito huo kwenye kikao kazi kilichofanyika mchana wa leo katika ukumbi wa Manispaa kwa lengo la kuboresha usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa shule za Sekondari na Msingi.

Aidha katika kikao hicho amewataka Walimu wakuu wa shule za Msingi na Sekondari kushirikiana na bodi za shule ikiwa ni njia mojawapo ya kuboresha ujenzi wa miradi katika sekta ya elimu Manispaa ya kigamboni.

Sambamba na hilo naye Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Kigamboni Bi. Devotha Mihayo amewataka Walimu hao kuhifadhi vizuri nyaraka  za Miradi ya Maendeleo ili kuepuka hoja zisizo za lazima na amewataka kushirikiana na TAKUKURU katika kuijenga nchi.

Afisa utumishi wa Manispaa akiwakaribisha katika kikao wenyeviti wa kamati za ujenzi, walimu Wakuu pamoja na Wenyeviti wa bodi,shule za Msingi na Sekondari


Mkuurugenzi wa Manispaa Ndugu Erasto Kiwale akitoa neno kwa wajumbe wa kikao

Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Kigamboni akiwashauri wajumbe kuweka vizuri nyaraka za manunuzi

Matangazo

  • TANGAZO LA UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI YA AFYA YA HALMASHAURI NA KAMATI ZA AFYA ZA VITUO MANISPAA YA KIGAMBONI. December 03, 2020
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA KIGAMBONI December 16, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • LEAT kushirikiana na Serikali kutatua changamoto za kimazingiraa kwa ustawi wa afya za wananchi

    January 20, 2021
  • Wajumbe wa Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango wapongeza Menejiment kwa usimamizi mzuri wa miradi.

    January 19, 2021
  • "Pikipiki hizi zitumike kuboresha utendaji kazi wa Serikali na si vinginevyo" Katibu Tawala Kigamboni,

    January 14, 2021
  • DC Sara awashukuru Kampuni ya KC kwa msaada wa mifuko ya simenti100

    January 07, 2021
  • Angalia Zote

Video

Makala ya Miradi ya Maendeleo Kigamboni Manispaa
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa