• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi


Majukumu ya Idara

1. Kuandaa michoro ya Mipango miji

2. Kufanya marekebisho ya michoro ya Mipango miji

3. Kupitia vibali vya ujenzi

4. Kusimamia uendelezaji wa ardhi kwa mujibu wa Sheria za ardhi

5. Kutoa elimu na ushauri kwa wananchi juu ya masuala ya Mipango miji

6. Kuandaa barua za toleo(Allocation Letter)

7. Kuandaa Hati milki za viwanja

8. Kuandaa Leseni za Makazi

9. Kukagua maeneo kabla ya kutoa milki

10.Kusikiliza malalamiko yanayohusu masuala ya milki za Ardhi

11.Kutoa vibali vya mauziano ya milki za ardhi.

 Kuandaa barua za toleo(Allocation Letter)

 Kuandaa Hati milki za viwanja

 Kuandaa Leseni za Makazi

 Kukagua maeneo kabla ya kutoa milki

 Kusikiliza malalamiko yanayohusu masuala ya milki za Ardhi

 Kutoa vibali vya mauziano ya milki za ardhi.

 Kufufua mipaka ya viwanja vilivyokuwa na migogoro na hata kutoa

ushahidi mahakamani.

 Kusimamia na kutoa maelekezo ya Upimaji Ardhi katika Manispaa.

 Kukagua na kuwasilisha ramani za Upimaji viwanja vya mradi na

maombi binafsi kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani

 Kuonyesha viwanja na mipaka ya barabara zinazosafiishwa katika eneo

la mradi Gezaulole.

 Kuandaa na kutengeneza alama za Mipaka. Beacons 10,000 na iron pins

14,000.Kukadiria kodi ya pango la ardhi kwa ajili ya viwanja

 Ukadiriaji wa thamani kwa ajili ya kodi ya majengo

 Kukadiria thamani kwa ajili ya uhamisho wa milki mbalimbali

 Kukadiria thamani kwa ajili ya mikopo

 Kuthamini kwa ajili ya fidia maeneo mbalimbali

 Kufanya uthamini ( mass valuation) kwa ajili ya kukadiria kodi za majengo

 Kushughulikia masuala mbalimbali ya fidia katika eneo la Mradi wa

Upimaji wa Viwanja Gezaulole

 Kushughulikia matatizo mbalimbali ya uthamini kwa wananchi

wanaojitokeza kuhitaji huduma hiyo.

 Kutekeleza majukumu mengine kwa mujibu wa maagizo ya Mkurugenzi

wa Manispaa.


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa