• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

RC CHALAMILA AKABIDHI MAGARI 2 KWA WAKUU WA WILAYA, KIGAMBONI NA UBUNGO

Posted on: September 22nd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ametoa wito kwa Wakuu wa Wilaya za Kigamboni na Ubungo kutumia magari yanayotolewa na Serikali katika kuwahudumia Wananchi na kutatua kero mbalimbali katika maeneo yao.


RC Chalamila ametoa wito huo leo Septemba 22. 2025 katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni  kwa lengo la kukabidhi magari mawili (2) aina ya Toyota Prado yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kuwarahisishia wakuu wa Wilaya hizo kutekeleza majukumu yao ya kila siku.


"Leo Wakuu wa Wilaya za Kigamboni na Ubungo mnakabidhiwa magari haya, naomba yakatumike kama chombo cha kuwahudumia wananchi." Alisema Mhe Albert Chalamila.


Aidha kwa upande mwingine amekabidhi gari aina ya Toyota crown kwa golikipa wa Timu ya Taifa la Tanzania (Taifa Stars) Ndugu. Yakoub Suleiman ikiwa ni ahadi aliyoitoa wakati robo fainali ya mashindano ya CHAN  katika Mchezo kati ya Tanzania na Morocco ambapo licha ya kufungwa ameamua kukabidhi gari hilo ikiwa ni kutambua jitihada za golikipa huyo.


Kwa upande mwingine amewaagiza Maafisa Michezo wa Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam kuanzisha timu za mpira wa miguu za Wilaya ili kukuza vipaji na kutoa fursa za ajira kwa vijana katika Wilaya hizo.


Mpira wa miguu ni moja kati ya mchezo pendwa katika Taifa letu na umetoa fursa za ajira kwa vijana wengi wanaocheza ligi mbalimbali za ndani na nje ya nchi.



Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la usafi August 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC CHALAMILA AKABIDHI MAGARI 2 KWA WAKUU WA WILAYA, KIGAMBONI NA UBUNGO

    September 22, 2025
  • WATENDAJI KIGAMBONI WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANANCHI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    September 08, 2025
  • WACHIMBAJI NA WASAFIRISHAJI WA MADINI YA UJENZI WATAKIWA KULIPA USHURU NA KODI ZA SERIKALI

    September 04, 2025
  • WANANCHI KIGAMBONI WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME MAJUMBANI

    September 03, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa