• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

WATENDAJI KIGAMBONI WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANANCHI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: September 8th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Mhe. @dalmiamikaya amewataka watendaji na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa  ndani ya Manispaa ya Kigamboni kuwashirikisha na kutoa elimu kwa wananchi juu ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao ili waweze kupata uelewa.


DC Mikaya ametoa agizo hilo leo, Agosti 8. 2025 wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua miundombinu ya barabara katika Kata ya Mjimwema na Kibada aliyoifanya kwa lengo la kujionea hali ya utekelezaji wa miundombinu hiyo.


"Jukumu la viongozi wa Mitaa na Kata ni kutoa elimu na taarifa sahihi ili wananchi washiriki ipasavyo kwenye maendeleo ya Mitaa yao." Alisema DC Mikaya.


Aidha, ameiagiza Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (TARURA) kutengeneza barabara za dharura zitakazowawezesha wananchi kupita wakati ujenzi na ukararabati unaendelea.


Pia ameiagiza wakala huo kuhakikisha wanawasimamia wakandarasi wote wanaojenga barabara ndani ya Wilaya ya Kigamboni na kuhakikisha wanakuwepo kwenye eneo la Mradi wakati wote  ili kuongeza kasi ya ujenzi wa miundombinu hiyo 

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la usafi August 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI KIGAMBONI WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANANCHI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    September 08, 2025
  • WACHIMBAJI NA WASAFIRISHAJI WA MADINI YA UJENZI WATAKIWA KULIPA USHURU NA KODI ZA SERIKALI

    September 04, 2025
  • WANANCHI KIGAMBONI WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME MAJUMBANI

    September 03, 2025
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ameongoza kikao cha Lishe

    August 14, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa