• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA “KIJIWE KWA KIJIWE”, AWASISITIZIA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI

Posted on: October 2nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Mheshimiwa Dalmia Mikaya, ameendelea na ziara yake aliyoipa jina la “Kijiwe kwa Kijiwe” katika mitaa ya Buyuni, Kizitohuonjwa na Minondo(cheka).


Akizungumza na wananchi wa maeneo hayo, Mheshimiwa Mikaya amesema ziara hiyo inalenga kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi na kushirikiana nao katika kuyapatia suluhisho la pamoja.


Aidha, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu, akibainisha kuwa ni nafasi muhimu ya kidemokrasia ya kuchagua viongozi watakaosimamia maendeleo yao ya kila siku.


“Ni wajibu wetu kutumia haki ya kikatiba ya kupiga kura. Nawaomba wananchi wote tujitokeze kwa wingi ili kuchagua viongozi bora watakaotusaidia kutatua changamoto zetu,” amesema.


Mheshimiwa Mikaya pia amesisitiza ushirikiano na mshikimano wa kijamii, huku akiahidi kuwa serikali ya wilaya itaendelea kushirikiana kwa karibu na wananchi na wadau mbalimbali kuhakikisha changamoto za huduma za jamii zinatatuliwa kwa wakati.

Matangazo

  • Tangazo la uuzaji wa Viwanja September 30, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA “KIJIWE KWA KIJIWE”, AWASISITIZIA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI

    October 02, 2025
  • RC CHALAMILA AKABIDHI MAGARI 2 KWA WAKUU WA WILAYA, KIGAMBONI NA UBUNGO

    September 22, 2025
  • WATENDAJI KIGAMBONI WATAKIWA KUWASHIRIKISHA WANANCHI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    September 08, 2025
  • WACHIMBAJI NA WASAFIRISHAJI WA MADINI YA UJENZI WATAKIWA KULIPA USHURU NA KODI ZA SERIKALI

    September 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa