• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Utekelezaji wa Miradi ya Uviko 19

Start Date: 2022-02-10
End Date: 2021-12-01

HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

TAARIFA FUPI YA MPANGO WA MAENDELEO KWA USTAWI WA TAIFA NA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO-19 KATIKA TAWALA ZA MIKOA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

 

UTANGULIZI

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ni moja kati ya Manispaa 5 zinazounda Jiji la Dar es Salaam, ambapo upande wa Kusini mwa Jiji hilo inapakana na Wilaya ya Mkuranga na Mashariki inapakana na Bahari ya Hindi (fukwe yenye urefu wa kilomita 60)

Awali Kigamboni ilikuwa sehemu ya Manispaa ya Temeke mpaka mwaka 2015 ilipotangazwa rasmi kupitia gazeti la Serikali lenye GN No. 462 kuwa Manispaa kamili inayojitegemea. Hata hivyo Kigamboni ilianza rasmi kutekeleza majukumu yake kama Manispaa mnamo Septemba 2016.

Kijiografia KIgamboni ina ukubwa wa kilomita za mraba 577.9 sawa na hekta 57.786 ambapo kiutawala ina Tarafa 3 yaani Kigamboni, Somangila, na Pembamnazi, Kata 9 na mitaa 67. Pia ina jumla ya Madiwani 13 na Mbunge mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Shughuli kuu za uchumi ambazo wananchi wake wanategemea ni Kilimo, Uvuvi, Ufugaji, Biashara na Utalii.

UTEKELEZAJI WA MIRADI

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19 zimewezesha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupata mkopo wenye masharti nafuu wa Dola za Kimarekani Milioni 567 sawa na shilingi trilioni 1.3 za Tanzania, kutoka Shirika la fedha la Kimataifa (IMF) kwa ajili ya kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19 ili kuchangia kufufua uchumi kwa sekta zilizopata athari za kiuchumi kutokana na madhara ya UVIKO-19.

          MAPOKEZI YA FEDHA

         Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imeidhinishiwa kupokea jumla ya shilingi 1,260,000,000.00, kwa sekta ya Elimu ya Msingi, ni shilingi 160,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 4 katika vituo shikizi na bweni 1, kwa sekta ya afya ya msingi ni shilingi 420,000,000.00 kwa ajili ya ununuzi wa mashine ya miyonzi (X-ray) na kwa sekta ya Elimu ya Sekondari ni shilingi 680,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 34. Tarehe 20/10/2021 tumeingiziwa Jumla ya Tsh. 840,000,000.00 katika akaunti ya Manispaa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 38 na bweni 1.

            

          HALI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI

        Ktika uekelezaji Manispaa ya Kigamboni ina Jumla ya maeneo ya kutekeleza miradi hii 10 yanayopatikana katika kata 6. 

Kwa taarifa zaidi bofya linki https://kigambonimc.go.tz/gallery


 

 

 

                                 

 

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa