• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Utekelezaji wa Miradi ya Uviko 19

Start Date: 2022-02-10
End Date: 2021-12-01

HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

TAARIFA FUPI YA MPANGO WA MAENDELEO KWA USTAWI WA TAIFA NA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO-19 KATIKA TAWALA ZA MIKOA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

 

UTANGULIZI

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ni moja kati ya Manispaa 5 zinazounda Jiji la Dar es Salaam, ambapo upande wa Kusini mwa Jiji hilo inapakana na Wilaya ya Mkuranga na Mashariki inapakana na Bahari ya Hindi (fukwe yenye urefu wa kilomita 60)

Awali Kigamboni ilikuwa sehemu ya Manispaa ya Temeke mpaka mwaka 2015 ilipotangazwa rasmi kupitia gazeti la Serikali lenye GN No. 462 kuwa Manispaa kamili inayojitegemea. Hata hivyo Kigamboni ilianza rasmi kutekeleza majukumu yake kama Manispaa mnamo Septemba 2016.

Kijiografia KIgamboni ina ukubwa wa kilomita za mraba 577.9 sawa na hekta 57.786 ambapo kiutawala ina Tarafa 3 yaani Kigamboni, Somangila, na Pembamnazi, Kata 9 na mitaa 67. Pia ina jumla ya Madiwani 13 na Mbunge mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Shughuli kuu za uchumi ambazo wananchi wake wanategemea ni Kilimo, Uvuvi, Ufugaji, Biashara na Utalii.

UTEKELEZAJI WA MIRADI

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19 zimewezesha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupata mkopo wenye masharti nafuu wa Dola za Kimarekani Milioni 567 sawa na shilingi trilioni 1.3 za Tanzania, kutoka Shirika la fedha la Kimataifa (IMF) kwa ajili ya kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19 ili kuchangia kufufua uchumi kwa sekta zilizopata athari za kiuchumi kutokana na madhara ya UVIKO-19.

          MAPOKEZI YA FEDHA

         Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imeidhinishiwa kupokea jumla ya shilingi 1,260,000,000.00, kwa sekta ya Elimu ya Msingi, ni shilingi 160,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 4 katika vituo shikizi na bweni 1, kwa sekta ya afya ya msingi ni shilingi 420,000,000.00 kwa ajili ya ununuzi wa mashine ya miyonzi (X-ray) na kwa sekta ya Elimu ya Sekondari ni shilingi 680,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 34. Tarehe 20/10/2021 tumeingiziwa Jumla ya Tsh. 840,000,000.00 katika akaunti ya Manispaa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 38 na bweni 1.

            

          HALI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI

        Ktika uekelezaji Manispaa ya Kigamboni ina Jumla ya maeneo ya kutekeleza miradi hii 10 yanayopatikana katika kata 6. 

Kwa taarifa zaidi bofya linki https://kigambonimc.go.tz/gallery


 

 

 

                                 

 

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Manispaa ya Kigamboni February 27, 2023
  • Tangazo la uuzaji wa viwanja Manispaa ya Kigamboni December 08, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Vikundi Manispaa. Ya Kigamboni vyapokea mikopo

    March 22, 2023
  • TANGAZO LA VIWANJA

    March 22, 2023
  • TANGAZO LA VIWANJA

    March 22, 2023
  • DC BULEMBO ASHIRIKI KATIKA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

    February 25, 2023
  • Angalia Zote

Video

Tangazo la uuzaji wa viwanja
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa