• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

TAARIFA YA KIKUNDI CHA WACHAPATOYO

Start Date: 2024-05-24
End Date: 2025-07-01

TAARIFA YA KIKUNDI CHA WACHAPATOYO 

Kikundi cha Wachapatoyo kipo katika mtaa wa Mdoe kata ya Somangila, Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni. Kikundi cha Wachapatoyo ni kikundi cha ujasiliamali ambacho kinachojishughulisha na usafirishaji wa mizigo kwa kutukia Usafiri wa Gutta.

Kikundi kilianzishwa mnamo 15/03/2021 kikiwa na Wanachama wakiume watano (5) ambao ndio waliopo hadi sasa. Kikundi kilisajiliwa rasmi kisheria kama Kikundi cha Vijana tarehe 30/11/2022, kwa namba ya usajili DAR/KIG/VIJ/2022/0460 na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni.

Kikundi hiki kilianza na mtaji wa shilingi 1,000,000 ikiwa ni pesa zilizopatikana baada ya kuchanga kiasi cha shilingi  200,000 kwa kila Mwanakikundi na  tarehe 10/03/2023 tulifanikiwa kupata mkopo wa asilia 10 unaotolewa na Manispaa ya Kigamboni (asilimia 4 za vijana) kwa ajili ya ununuzi wa maguta 5 yenye thamani ya shilingi 43,750,000  na kuendelea kurejesha kulingana na muongozo   na mkataba unavyoelekeza, ambapo kwa kila mwezi tunalipa kiasi cha shilingi 1,900,000 mpaka sasa tumeweza kurejesha kiasi cha shilingi  20,000,000 na kubakisha na deni la kiasi cha shilingi  23,750,000  ambacho unatakiwa  kumalizika Mwaka 2025 mwezi wa tano (05).

Mradi huu umetunufaisha kama ifuatavyo;

  1. kupunguza gharama za usafirishaji wa mizigo kwa jamii,
  2. Kuongeza kipato cha Wanakikundi kwa kuweza kutohudumia familia ipasavyo, kupeleka watoto shule na mahitaji yao muhimu.
  3. Kikundi kimeweza kuongeza pikipiki ya magurudumu matatu (guta ya kubebea mizigo) moja (1) kupitia faida itokanayo na uendeshaji wa shughuli za usafirishaji.
  4. Aidha tumeweza kutoa mkataba wa kazi kwa vijana wawili (2) na ajira kwa kijana mmoja (1).
  5. Vilevile tumefanikiwa kupata kazi mbalimbali ndani ya Wilaya na nje ya Wilaya. Kikundi kimekuwa na faida kubwa kwa jamii kwa kupunguza gharama za usafishaji wa mizigo.  


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa