• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Mradi wa ujenzi wa soko la kisasa kibada.

Start Date: 2020-08-16
End Date: 2020-11-29

Katika kuhakikisha Halmashauri zote nchini zinajitengenezea mazingira ya kujitegemea kifedha kupitia  fursa za masoko ya mitaji na uwekezaji, Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ni miongoni mwa Halmashauri  iliyofanikiwa kupata mradi mkakati mmoja wa Ujenzi wa Soko la Kisasa la Kibada linalojengwa kwenye Kata ya Kibada.


Mradi huu upo kwenye hatua za ukamilishaji na utagharimu kiasi cha Tsh.6.6 Bilioni hadi kukamilika,Jengo hili la kisasa litajengwa na     Mkandarasi  Mwananchi Engineering and Construction Company Ltd (MECCO) huku Mhandisi Mshauri akiwa ni Bureau for Industrial Cooperation (BICO).


Ujenzi umeanza tarehe 16/08/2019  ambapo hadi kukamilika kwa mradi mbali na kuongeza pato la Manispaa kwa kukusanya Kodi lakini pia utawezesha;

Mradi wa soko utakapokamilika utapunguza adha ya umbali na gharama ya usafiri kwa wananchi waliokuwa wakifuata huduma za bidhaa za soko nje ya Wilaya,

Wafanyabiashara  zaidi ya 320 watanufaika na mradi huu kwa kuboreshewa mazingira mazuri ya kufanya biashara,

Bidhaa za sokoni kama vile matunda mbogamboga zitashuka kwa kuwa zitakuwa zikipatikana karibu na kwa urahisi .


Muonekano wa mradi kwa sasa

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za kazi kukusanya Taarifa za anwani za Makazi na Postikadi February 14, 2022
  • Tangazo la kuitwa Kazini March 02, 2022
  • Tangazo la mnada Manispaa ya Kigamboni February 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili February 25, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru Kigamboni waridhia miradi yenye thamani ya Bilion 1.4

    May 13, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Kigamboni waridhia miradi yenye thamani ya Bilion 1.9

    May 13, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Kigamboni waridhia miradi yenye thamani ya Bilion 1.9

    May 13, 2022
  • Wamiliki wa Daladala Wilaya ya Kigamboni watakiwa kuwasilisha changamoto za mapema ili ziaoatiwe ufumbuzi

    May 06, 2022
  • Angalia Zote

Video

Makala ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Mapato ya ndani kuishia mwaka wa fedha 2021 JUNE
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa