• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

WATENDAJI WA KATA NA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KWENYE MAENEO YAO

Posted on: July 15th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Mikaya Tumaini Dalmia amewataka watendaji wa Kata na Mitaa ndani ya Manispaa ya Kigamboni kufuata taratibu na sheria  za Manunuzi wakati  wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili iweze kuendana na thamani ya fedha.


DC Mikaya ametoa agizo hilo leo Julai 15. 2025 katika kikao chake na watendaji hao kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi yake kwa lengo la kujadili namna bora ya kuendesha shughuli za Serikali.


Aidha amewataka kutunza vizuri nyaraka zinazoandaliwa wakati wa utekelezaji wa miradi ili kuepuka hoja zisizo za lazima.


Pia amewataka kuwahamasisha wananchi kufanya usafi kila wakati na sio kusubiri hadi kampeni za usafi za mwisho wa mwezi zinazoandaliwa na kufanywa na Serikali.


Kwa upande mwingine amewataka watendaji hao kufuata miongozo taratibu na kanuni za utumishi wa umma wakati wa kuwahudumia wananchi.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA KATA NA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KWENYE MAENEO YAO

    July 15, 2025
  • WALIMU WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA MANUNUZI YA SERIKALI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BOOST

    July 15, 2025
  • Wananchi wajitokeza kwenye banda la Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kujionea na kujifunza shughuli za ujasiriamali

    July 07, 2025
  • KATIBU TAWALA WILAYA YA KIGAMBONI AWAUNGA MKONO WAJANE, ATOA PONGEZI KWA USHIRIKI WAO KWENYE MAENDELEO

    June 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa