• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

WILAYA TANO ZA DAR ES SALAAM ZAPOKEA MSAADA WA VITANDA

Posted on: July 22nd, 2022

MSAADA WA VIFAA TIBA KUTOKA UJERUMANI KWA HOSPITALI ZA WILAYA, KIGAMBONI YANUFAIKA


Leo 22/7/2022 hospitali ya Wilaya ya Kigamboni imepokea vifaa tiba ( vitanda 108 na kabati zake 38 pamoja na vyuma 161 vya kunin'ginizia miguu na dripu  ) mara baada ya uzinduzi wa vifaa hivyo uliofanywa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh.Amos Makalla ambae alikuwa ni mgeni rasmi aliezindua vifaa hivyo na kukabidhi Kwa Wilaya 5 za mkoa wa Dar es salaam.


Akiongea katika uzinduzi huo Mkuu wa mkoa amewashukuru wadau hao kutoka Hamburg Germany ambao Wana ushirikiano na Tanzania wa muda tangu mwaka 2007.Pamoja na hayo amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kudumisha mahusiano na nchi za nje ambapo katika kipindi chake mahusiano yameimarika na kuinufaisha nchi yetu.Pamoja na hayo ameipongeza Manispaa ya Kigamboni kwa jinsi inavyokua kwa Kasi kutokana na kazi nzuri inayoendelea kufanywa hapa Kigamboni.


Aidha amesema kuwa msaada huo ni wa awamu ya pili ambapo kuna container zingine zitakuja zitakazoleta vifaa tiba vingine vitakavyosambazwa pia kwenye vituo vya afya vinavyoendelea kujengwa.


Mh.Mbunge wa Kigamboni Mh.Ndugulile akiongea katika hafla hiyo amemshukuru Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoinyanyua kigamboni kimaendeleo mbalimbali ikiwepo kuipatia  pesa mil 420 za UVICO ,mkopo wa bil.1.5 kwa Manispaa kwa ajili ya kuendelea kuipanga Kigamboni,sekta ya afya ununuzi wa X-ray katika hospitali ya wilaya ambayo ilikuwa kero kubwa.Licha ya hayo amempongeza Mkuu wa Wilaya  kwa namna wilaya kwa utendaji wake na usimamizi na kuifanya Wilaya kwenda  kwa Kasi katika maendeleo katika Nyanja mbalimbali.


Nae Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe.Fatma Almas Nyangasa Kigamboni amewashukuru wadau hao Kwa msaada huo kwani utasaidia kutatua upungufu uliokuwepo,Aidha amemshukuru Rais wa Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kuifungua nchi na kupelekea kuongezeka kwa mahusiano baina ya nchi yetu na nchi za nje.Pia amempongeza Mh.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kwa jinsi ambavyo amekuwa akitupia jicho katika kila sekta kuhakikisha Dar es salaam inafanya vizuri.


Akiongea Meya Manispaa ya Kigamboni Mh Ernest Mafimbo ameshukuru Kwa kupatikana vifaa hivyo kwani vinaenda kutatua changamoto iliyokuwepo ya  uhaba wa vitanda.


Wilaya zingine zilizonufaika ni Ilala,kinondoni,Ubungo na Temeke


IMETOLEWA NA KITENGO CHA  MAWASILIANO SERIKALINI MANISPAA KIGAMBONI

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa