• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Wenyeviti wa Mitaa, watendaji wa Kata na Mitaa waelekezwa kufanya kazi kwa kuzingatia maeneo yao ya kiutawala

Posted on: November 30th, 2020

Maelekezo hayo yametolewa leo na Afisa Utumishi Mkuu Bw. Wenslausi Lindi mwakilishi wa Mkurugenzi  kwenye ukumbi wa G5 walipokuwa wakipewa semina elekezi  ya masuala mtambuka katika utendaji kazi yaliyohusisha Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa ikiwa na lengo la kutoa uelewa wa pamoja utakaowawezesha kufanya kazi kwa kuzingatia mipaka ya maeneo yao ili kuwezesha wananchi kupata huduma bora.

Aidha wameelekezwa pia kuhakikisha wanasimamia sheria na taratibu za ujenzi na wanakua walinzi wa ujenzi holela kwa kutoa taarifa katika ofisi husika ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa yeyote ataayekiuka utaratibu uliowekwa wenye lengo la kuijenga Kigamboni.

Viongozi hawa wanaokutana na wananchi moja kwa moja leo wameweza kupewa semina kwenye masuala ya uwajibikaji na majukumu yao,sheria ndogondogo na taratibu za uundaji wa mabaraza ya Kata, mfumo wa fursa na vikwazo,utaratibu wa utoaji wa vibali vya ujenzi, suala la ukusanyaji wa mapato,  majukumu katika masuala ya kilimo, uboreshaji wa usafi na mazingira na udhibiti wa taka ngumu pamoja na majukumu ya Watendaji wa Kata, Mitaa na Wenyeviti wa Mitaa katika masuala yahusuyo ushirikishwaji , mikopo na mfuko wa TASAF.


Mkuu wa Kitengo cha Sheria Charles Lawiso akitoa ufafanuzi wa sheria mbalimbali zinazotuongoza Manispaa katika utendaji kazi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Vibali vya Ujenzi Magdalena Malunda akielezea taratibu za upatikanaji wa vibali vya ujenzi.

Baadhi ya Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa Kata na Mitaa wakifatilia mada zinazotolewa

Rajabu Gundumu  mchumi akielezea namna ya uibuaji wa fursa katika utekelezaji wa miradi.

Msimamizi wa TASAF kwenye Idara ya Maendeleo ya jamii Bi. Edda Gweba aikielezea wajibu wa wenyeviti wa Mitaa, Wtendaji wa Kata na Mitaa katika kutekeleza mfuko huo.

Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira akielezea wajibu wa kila kiongozi katika kutunza mazingira

Dokta Kadula kutoka idara ya afya akielezea namna bora ya  mfumo wa maisha unavyoweza klusaidia kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa