• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

WAZEE 3518 KIGAMBONI WANUFAIKA MSAMAHA MATIBABU

Posted on: October 5th, 2022

WAZEE 3518 KIGAMBONI WANUFAIKA NA VITAMBULISHO VYA MSAMAHA WA MALIPO YA MATIBABU,WATAKIWA KUYATUMIA VIZURI MABARAZA


Hayo yamebainika leo katika hafla ya  maadhimisho ya Siku ya Wazee duniani ambapo Manispaa ya Kigamboni leo 5/10/2022 imeadhimisha katika viwanja vya Mjimwema .


Akiongea Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mh.Fatma Almas Nyangasa ambae pia alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo amewapongeza kwa jinsi wanavyotoa ushirikiano kwa uongozi Wilaya kwa kujitokeza pale wanapoitwa na amesisitizabkuwa serikali inawatambua na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu  anawathamini na anatambua mchango wao katika taifa hili na inathamini   pia  amewataka kuyatumia vizuri mabaraza ya wazee kwa kushirikiana na watendaji katika Kata zao.


Akiongelea kuhusu maombi mbalimbali yaliyoainishwa katika risala yao DC Nyangasa amesema kuwa ameyachukua kwa ajili ya kuyafanyia kazi.Aidha amemshukuru Mkurugenzi ndg.Kiwale kwa utekelezaji wa maagizo mbalimbali ambayo amekuwa akimpa kuhusiana na maswala yao wazee.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni ndg.Erasto Kiwale ameeleza kwa jinsi Manispaa inavyotekeleza maagizo  ya Serikali kuhusiana na maswali ya wazee likiwepo suala la kutoa vitambulisho vya msamaha wa malipo ya matibabu kwa wazee ambapo wazee 3518 wamepatiwa vitambulisho hivyo.


 Aidha amesema Manispaa imekuwa ikitoa elimu ya Chanjo ya COVID -19 kwa wazee ambapo wazee 2228 wamepata elimu hiyo,pamoja na hilo Manispaa imesimamia uundaji wa mabaraza 77 kwa wazee kuanzia ngazi ya Wilaya, Kata na mtaa,aidha Manispaa imeendelea kutoa elimu ya saikolojia kwa wazee na kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ilifanikiwa kutumia mil.7.4 kuwakatia bima wazee kwa ajili ya unafuu wa matibabu.


Imetolewa na kitengo cha Mawasiliano Serikalini KGMC

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la Usaili nafasi ya Dereva daraja la II mwandishi mwendesha ofisi daraja la II na msaidizi wa kumbukumbu daraja la II September 19, 2023
  • Tangazo la kuitwa kazini kwa nafasi ya dereva daraja la II mtunza kumbukumbu daraja la II na mwendesha ofisi daraja II September 27, 2023
  • Tangazo la mnada Manispaa ya Kigamboni February 22, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Watendaji waagizwa kuandaa Mkakati wa uzoaji taka

    September 26, 2023
  • Mama lishe na Baba lishe wamshukuru Mhe. DC kwa kutatua na kusikiliza kero zao

    September 25, 2023
  • Wananchi wa Manispaa ya Kigamboni watakiwa kutunza vyanzo vya maji

    September 22, 2023
  • Wataalamu idara ya Ardhi watakiwa kutekeleza Mradi wa uboreshaji usalama wa Milki za Ardhi kwa vitendo

    September 19, 2023
  • Angalia Zote

Video

RC CHALAMILA KUKOMESHA UTAPETILI WA ARDHI
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa