• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

WAZEE 3518 KIGAMBONI WANUFAIKA MSAMAHA MATIBABU

Posted on: October 5th, 2022

WAZEE 3518 KIGAMBONI WANUFAIKA NA VITAMBULISHO VYA MSAMAHA WA MALIPO YA MATIBABU,WATAKIWA KUYATUMIA VIZURI MABARAZA


Hayo yamebainika leo katika hafla ya  maadhimisho ya Siku ya Wazee duniani ambapo Manispaa ya Kigamboni leo 5/10/2022 imeadhimisha katika viwanja vya Mjimwema .


Akiongea Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mh.Fatma Almas Nyangasa ambae pia alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo amewapongeza kwa jinsi wanavyotoa ushirikiano kwa uongozi Wilaya kwa kujitokeza pale wanapoitwa na amesisitizabkuwa serikali inawatambua na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu  anawathamini na anatambua mchango wao katika taifa hili na inathamini   pia  amewataka kuyatumia vizuri mabaraza ya wazee kwa kushirikiana na watendaji katika Kata zao.


Akiongelea kuhusu maombi mbalimbali yaliyoainishwa katika risala yao DC Nyangasa amesema kuwa ameyachukua kwa ajili ya kuyafanyia kazi.Aidha amemshukuru Mkurugenzi ndg.Kiwale kwa utekelezaji wa maagizo mbalimbali ambayo amekuwa akimpa kuhusiana na maswala yao wazee.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni ndg.Erasto Kiwale ameeleza kwa jinsi Manispaa inavyotekeleza maagizo  ya Serikali kuhusiana na maswali ya wazee likiwepo suala la kutoa vitambulisho vya msamaha wa malipo ya matibabu kwa wazee ambapo wazee 3518 wamepatiwa vitambulisho hivyo.


 Aidha amesema Manispaa imekuwa ikitoa elimu ya Chanjo ya COVID -19 kwa wazee ambapo wazee 2228 wamepata elimu hiyo,pamoja na hilo Manispaa imesimamia uundaji wa mabaraza 77 kwa wazee kuanzia ngazi ya Wilaya, Kata na mtaa,aidha Manispaa imeendelea kutoa elimu ya saikolojia kwa wazee na kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ilifanikiwa kutumia mil.7.4 kuwakatia bima wazee kwa ajili ya unafuu wa matibabu.


Imetolewa na kitengo cha Mawasiliano Serikalini KGMC

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa