• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Watumishi wa Idara ya Ardhi Manispaa ya Kigamboni watakiwa kuepuka kutoa majibu mepesi wakati wa kutatua kero za Wananchi

Posted on: February 12th, 2022

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndugu Erasto Kiwale amewataka wataalamu wa Idara ya Ardhi Manispaa ya Kigamboni kuepuka kutoa majibu mepesi wakati wa kutatua kero za Wananchi haswa zinazohusu migogoro ya Ardhi.


Ndugu, Kiwale ametoa wito huo asubuhi ya leo tarehe 12/02/2022 wakati akifungua zoezi la kusikiliza na kutatua kero zinazohusu urasmishaji lililofanyika Ofisi ya Kata ya Mjimwema  ambapo Wananchi wa mtaa wa Mjimwema, Magogoni, Ungindoni pamoja na Maweni walipata fursa ya kuwasilisha kero zao.


Aidha akitilia msisitizo amezitaka Kampuni binafsi zinazofanya urasimishaji kuweka wazi mikataba yao kwa Wananchi pamoja na kuepuka chelewesha mchakato mzima wa urasimishaji ili kupunguza malalamiko.


Sambamba na hilo Mratibu wa Urasimishaji Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Laulent Luswani ameeleza kuwa wameandaa utaratibu wa kuzunguka kila Wilaya kwa lengo la  kutatua Kero zinazohusu urasmishaji kwa Mkoa wa Dar es Salaam


Akifunga zoezi la kusikiliza kero Kamishna Msaidizi wa Ardhi kanda ya Dar es Salaam  Ndugu Idrisa Kayela pia amezitaka Kampuni zinazofanya urasimishaji kutoa elimu ya Upimaji kwa Wananchi ili kuepuka malalamiko yasiyo ya lazima kwa Wananchi.


Aidha amewapongeza Watumishi wa Idara ya Ardhi  kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato kwani mwamko wa ulipaji wa kodi ya Ardhi umekuwa mkubwa kwa Manispaa ya Kigamboni.


Zoezi la kusikiliza kero zinazohusu urasmishaji limeenda Sambamba na utoaji wa Hati Miliki ambapo jumla ya Hati 170 zilitolewa kwa Wananchi


Kamishna Msaidizi wa Ardhi kanda ya Dar es Salaam  akigawa Hati Miliki kwa Wananchi 



Mwananchi akiwasilisha kero zinazohusu urasmishaji katika Mtaa wa Mjimwema, Magogoni, Ungindoni, na Maweni.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa