• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Watumishi Manispaa ya Kigamboni kuanza kuhamia jengo la utawala tarehe 26Agust- MD Ludigija.

Posted on: August 23rd, 2019


Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Arch.Ngwilabuzu Ludigija leo tarehe 23 amewatoa wasiwasi waheshimiwa Madiwani wakati wa kuhitimisha kikao cha baraza  kuhusiana na sula la kuhamia kwenye ofisi mpya zinazojengwa Gezaulole Kata ya Somangila na mikakati ya kuhakikisha idadi ya shule za kidato kidato cha tano zinaongezwa.

Akijibu hoja ya Diwani wa Vijibweni kuhusiana na ni lini watumishi watahamia kwenye jengo jipya la utawala Mkurugenzi Ludigija amesema kuwa  tarehe 30 mwezi huu ndio tarehe rasmi ya kuhamia lakini  zipo baadhi ya Idara ambazo hazina vikwazo vya kuhamia mapema kwenye jengo hilo hivyo kuanzia jumatatu ya tarehe  26 wiki ijayo watakuwa wanahamia huku Idara nyingine zikisubiri ukamilikaji wa miundombinu itakayowawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi.

Aidha kuhusiana na suala la kuongeza shule za levo ya juu yaani kidato cha tano na sita Mkurugenzi amesema kuwa Manispaa inampango wa kuipandisha hadhi shule ya Kisarawe II Sekondari, Kigamboni pia inatazamiwa kuona ni namna gani inaweza kupata shule ya kidato cha tano na mikakati mingine ya kupandisha hadhi na kujenga baadhi ya shule ili kuondoa upungufu wa kuwa na kidato cha tano kwenye Shule ya Nguva pekee.

Baraza la Madiwani limehitimishwa leo ambapo waheshimiwa Madiwani wameliridhishwa na majibu ya Mkurugenzi yaliyotokana na maswali ya papo kwa papo.

Mkurugenzi Arch.Ng'wilabuzu Ludigija akijibu hoja za madiwani  kuhusu shule na kuhamia ofisi mpya za Manispaa

Diwani wa Kata ya Vijibweni Mhe. Isaya Mwita akiuliza swali la mikakati ya kuongeza shule za kidato cha tano na sita

Viongozi na wageni waalikwa wakifatilia mkutano wa baraza kwa makini

Diwani wa Viti Maalum Mhe. Amina Yakoub akiuliza swali la lini watumishi watahamia kwenye ofisi mpya za Manispaa.

muonekano wa Jengo la utawala kwa nje likiwa kwenye hatua za umalizizaji.

Muonekano wa ofisi kwa ndani zikiwa kwenye hatua za umaliziaji

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa