• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Watoto 100 wanufaika na bima za Afya za NHIF kutoka TPA.

Posted on: March 15th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Fatma Almasi Nyangassa ameashukuru wanawake kutoka Mamlaka ya Bandari Dar es Salaama kwa msaada wa bima za afya 100 za NHIF zilizotolewa kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa lengo la kuwasaidia kimatibabu.


Akizungumza mara baada ya makabidhiano leo kwenye ukumbi  wa Ofisi za Mkuuu wa Wilaya, Mhe Fatma amesema kuwa Serikali ikipata sapoti za wadau inarahisisha kutatua changamoto haraka zaidi kama bima walizozitoa kwani  zitawasaidia watoto kupata huduma  za msingi za kiafya  na kwa urahisi zaidi.


Ameongeza kwa kusema kuwa  kitendo walichofanya  wanawake wa mamlaka ya bandari ni ishara ya kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhakikisha kila mwananchi anakua na Bima ya afya kama ambavyo siku za usoni serikali ilivyodhamiria kuhakikisha wananchi wote wanakua na Bima za afya.


“Nawashukuru sana wanawake wa TPA kwetu hili ni jambo kubwa sana, Kigamboni tunakundi kubwa la watu wanaohitaji msaada wa namna hii  kwani mmetusaidia kwanza, kwa kuunga mkonojitihada za Serikali lakini pia hii imedhihirish upendo alionao mama kwa mototo kwani mngeweza kufanya jambo lingine lolote na mahali kwingine  lakini mkaona vyema kuwafikia watoto wa Kigamboni “Alisema Mkuu wa Wilaya


Akizungumza wakati  wa makabidhiano kaimu meneja Rasilimali watu  Mwajuma Mkonga kutoka Mamlakaya Bandari amesema kuwa , katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani wameamua kuangaza tabasamu kwa watoto wanaoishi mazigira magumu na walezi wao kwa kuwalipia Bima za NHIF  zitakazowasaidia kupata matibabu kwa kipindi cha mwaka mmoja.


Ameongeza kwa kusema kuwa walikusanya fedha  kutoka kwa watumishi na wadau mbalimbali ambazo zimesaidia kununua bima 400 kwa lengo la kukabidhi kwa wilaya 3 za Dar es Salaam na  fedha nyingine zimetumika kutoa msaada kwa Hospitali za Temeke na MMuhimbili


Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Fatma Nyangassa akizungumza Mara baada ya makabidhiano ya Bima za Afya Kushoto ni Kaimu Rasilimali watu  kutoka Mamlaka ya Bandari Bi. Mwajuma Mkonga


Mkuu wa Wilaya Mhe.Fatma Nyangassa akiwashukuru wanawake kutoka mamlaka ya bandari, pembeni ni Kaimu Meneja rasilimali watu Mwajuma Mkonga.


Baadhi ya wanawake wa mamlaka ya Bandari waliofika kukabidhi Bima za Afya kwa watoto.


Mkuu wa Wilaya Mhe.Fatma Nyangassa akipokea zawadi kutoka kwa kaimu meneja rasilimali watu kutoka mamlaka ya bandari Bi.Mwajuma Mkonga.


Baadhi ya watoto waliowawakilisha watoto wenzao wakati wa makabidhiano ya Bima za Afya.

Picha ya pamoja kati ya Mkuu wa Wilaya Mhe.Fatma Nyangassa  na wanawake kutoka mamlaka ya bandari Mara baada ya makabidhiano.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa