• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Wananchi wanaoishi mabondeni na maeneo hatarishi watakiwa kuhama

Posted on: January 31st, 2019


Wananchi wa Kigamboni wazidi kutahadharishwa kuchukua  tahadhari na kuondoka kwenye maeneo hatarishi kabla ya kipindi cha mvua kuanza ili  kuepuka madhira yatakayoweza kuwakumba kutokana na mafuriko.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya leo Bi.Rahel Mhando (Katibu Tawala) wakati wa kikao cha baraza la madiwani amesema kuwa Mkuu wa Wilaya mbali na kutoa pongezi kwa watendaji na waheshimiwa madiwani kwa utendaji kazi, ameto rai kwamba kila mmoja asimame kwenye nafasi yake katika kuhakikisha tahadhari na elimu inatolewa kwa wananchi wanaoishi mabondeni kuondoka ili mvua zitakapoanza kila mmoja awe salama.

Diwani wa Kata ya Kibada ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa Mh.Amin Sambo alisema kuwa  watu wote waliojenga nje ya utaratibu wasimamiwe kufuata sheria  kwasababu madhira yakitokea Manispaa itawajibika , hivyo ni suala la msingi kuwaelewesha wananchi juu ya ujenzi wa makazi kwenye maeneo ambayo ni karibu na vyanzo vya maji na mabondeni ili usalama uwepo pande zote.

Naye diwani wa kata ya Kimbiji Mhe. Bunaya Sanya amesema kuwa Kigamboni bado inakua na maeneo mengi yapo wazi hivyo hakuna sababu ya wananchi kujenga kwenye maeneo hatarishi wakati yapo maeneo mazuri ambayo wanaweza kujenga na kuisha kwa usalama.

Aidha Baraza limeridhia na kumtaka Mkurugenzi kuunda timu ya wataalamu watakaopita na kuanisha maeneo yote hatarishi na vyanzo vya maji ili kuwakataza wananchi kufanya  shughuli zozote hususani ujenzi.

Wakati huohuo wakipokea taarifa ya mfuko wa afya ya jamii ulioboreshwa iCHF Madiwani wametaka matangazo na kampeni zifanyike ili kuweka uelewa kwa wananchi juu ya umuhimu wa bima hii na namna inavyofanya kazi sababu mfuko huu umelenga zaidi kusaidia wananchi wa hali za chini.


Katibu Tawala Wilaya Bi. Rahel Mhando akitoa salam kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya kwenye kikao cha baraza la madiwani.

Mratibu wa mfuko wa afya ya jamii iCHF Bi.Sereti Kiroya akisoma taarifa kwenye kikao cha baraza la madiwani.

Mkurugenzi wa Manispaa  Arch.Ng'wilabuzu Ludigija akijibu maswali ya papo kwa papo ya Waheshimiwa Madiwani

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa