• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Wananchi na wadau washiriki utoaji wa maoni juu ya mkakati wa Mpango Kabambe

Posted on: March 12th, 2019

Wilaya ya Kigamboni imefanya uzinduzi wa ushirikishaji wananchi na wadau mbalimbali kwenye utoaji wa maoni wa namna wanayohitaji kigamboni iwe, kwenye maandalizi ya  mpango kabambe yaaani Kigamboni Master Plan unaolenga kuupanga mji wa Kigamboni na kuiinua Wilaya  Kiuchumi na Utoaji wa huduma za kijamii ili iweze kuleta tija kwa wananchi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa utoaji wa maoni kwenye ukumbi wa Islamic Club jana  Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri amesema Mradi wa Mpango Kabambe umelenga kuboresha mapungufu yaliyojitokeza kwenye New Kigamboni City ulionzishwa 2008 hivyo lengo la kushirikisha wananchi na wadau mbalimbali limelenga  kuiona Kigamboni ya sasa na nini ambacho kinaweza kuwekwa  kuibadili Kigamboni kwenye hali ya Kiuchumi, Kijamii na Kiutamaduni.

  “Asilimia 89 ya wananchi wanaoishi kigamboni wapo kwenye ajira binafsi ambazo ni shughuli ndogo ndogo kwaajili ya kujikimu na hivyo kuifanya Kigamboni kuwa ni Makazi, hakuna uzalishaji unaoweza kuinua uchumi wa Kigamboni, ukuaji wa kipato kigamboni kipo chini na huduma za msingi za kijamii hazijitoshelezi, hivyo mpango huu na ushirikishwaji unaofanyika utawezesha kuiboresha Kigamboni”.

Akizungumzia lengo la mradi wa Mpango Kabambe Dk.Victoria Mwakalinga mtaalamu kutoka chuo kikuu cha ardhi alisema kuwa Mkutano umelenga kupokea taarifaya hali ya sasa ya kigamboni, kujadili na kutoa maoni ya kuiboresha, kujadili changamoto na fursa za kimipango miji zilizopo kigamboni ili kuzitumia katika uandaaji wa mpango enedelevu, kuandaa rasimu ya maono ya Manispaa ya Kigamboni katika kipindi cha miaka  20-30( Je ni aina gani ya mji wa Kigamboni watu wanautaka?), kutengeneza rasimu ya vipaumbele vya maendeleo na kuibua na kujadili wadau muhimu wa maendeleo ili kufanikisha utekelezaji wa mpango.

Mradi wa mpango kabambe umelenga kuupanga mji wa kigamboni na kuepuka makazi holela, kuibua na kuiweka miradi ya maendeleo itakayochochea ukuaji wa Mnaispaa ya Kigamboni katika mpango endelevu, kutoa mwongozo wa kuendeleza kila kipande cha ardhi ndani ya mji ili kuitumia ardhi kwa ufasaha, kutafuta wawekezaji na wadau mbalimbali wa maendeleo, kuainisha mipango ya sasa na ijayoya idara zote zinazofanya kazi katika Manispaa na kushughulikia kero zote za wananchi kuhusiana na mausuala ya mipango miji.

Mradi wa Mpango Kabambe unaandaliwa kwa ushirikiano baina ya Manispaa ya Kigamboni, wataalamu kutoka chuo kikuu cha Ardhi na tasisi inayoshughulikia maendeleo ya  I4ID.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Sara Msafiri akifungua jukwaa la maoni kwa wananchi na wadau mbalimbali


Dk.Victoria Mwakalinga kutoka chuo kikuu cha ardhi akielezea  Mpango kabambe namna utakavyoweza kuibadili Kigamboni

mwakilishi wa Mkurugenzi na MKuu wa Idara ya Arhi Bi.Nice mwakalinga akifafanulia wananchi namna gani wanapaswa kutoa hoja ya kigamboni ipi wanaitaka iwe.

mdau akitoa maoni ya uboreshwaji wa mpango kabambe

Viongozi mbalimbali wakisikiliza kwa makini makusudi ya kuwa na mpango kabambe

Wadau na wananchi walioshiriki kwenye mkutano wa kutoa maoni juu ya mpango kabambe


wazee wastaafu wakisikiliza hoja mbalimbali zinazotolewa

wananchi wakiendelea kutoa hoja


Mwenyekiti wa wananchi akifafanua kwa wananchi na wadau nini wanapaswa kufanya kwenye mpango kabambe


wananchi wakiendelea kutoa hoja.


watumishi na viongozi mbalimbali wakifatilia hoja zinazotolewa na wananchi


Mdau wa Islamic Club akitoa hoja juu ya maboresho ya mpango kabambe


Diwani wa Kata ya Kimbiji Mhe.Sanya Bunaya akitoa hoja.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa