• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Wakulima Kigamboni watakiwa kulima kwa tija ili kuvuka hatua moja kwenda nyingine.

Posted on: March 30th, 2021

Mkuu wa idara ya Kilimo Bi.Priscilla Mhina amewashauri wakulima wa Manispaa ya kigamboni kulima kwa malengo na kuona kilimo ni kitu kizuri ambacho kinaweza kuwavusha kutoka hatua moja kwenda nyingine ikiwa wataongeza thamani ya mazao yao na kujiunga na vyama vya ushirika vitakavyowawezesha kukopesheka na kutanua wigo wa masoko.

Ushauri huo ameutoa Leo alipokuwa akihitimisha mafunzo ya kilimo cha umwagiliaji, umuhimu wa kujiunga na vyama vya ushirika, matumizi sahihi ya  mfumo wa kielekroniki wa Kilimo, na namna kuchakata mazao tangu shambani hadi kufikia sokoni kwenye kituo cha mafunzo kilichopo Geza.

Mhina amewaasa wakulima kuzalisha mazao yanayokidhi afya za walaji kwa kufuata kanuni bora za kilimo na kuacha matumizi holela ya dawa za kunyunyizia mazao hali inayopeleka kupata mazao yasiyo na viwango.

Mafunzo haya ya wakulima wadogo yamefanyika kwa Kata zote za Kigamboni na kuhusisha wataalamu wa kilimo kutoka ngazi ya Kata.


Mtaalamu wa Kilimo Victoria Fisso akielezea namna mfumo wa Kilimo ulioanzishwa na Wizara ya Kilimo unaweza kufanya kazi na kluwasaidia wakulima.


Wakulima wakifatilia kwa makini mafunzo.

Mtaalamu w Kilimo cha Umwagiliaji akitoa elimu kwa wakulima 

Mtaalamu wa kilimo akielezea wakulima namna bora ya kuweka bidhaa na upatikanaji wa masoko wa bidhaa zinazotokana na kilimo.

mazao yaliyotokana na kilimo cha ngano na muhogo yakiwa kwenye hatua ya kumfikia mlaji na wakulima walioandaa wakifurahia matokeo ya bidhaa zao.

wakulima na wataalamu wakiandaa bidhaa zilizopikwa na wakulima ikiwa ni sehemu ya mafunzo.


wakulima wakiuliza maswali ya ufahamu kukuza ujuzi wao.


Wakulima wakiendelea kuuliza maswali ya ufahamu kuhusu mashine ya kuchakata muhogo.

Afisa ushirika Wilaya akielezea wakulima umuhimu wa kujiunga kwenye vyama vya ushirika.


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa