• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Wakulima Kigamboni wapewa mafunzo ya zao la Mbaazi na umuhimu wake kiafya.

Posted on: May 26th, 2022

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa kilimo wameendesha mafunzo ya  zao la kilimo cha zao la Mbaazi kwenye Bustani ya Gezaulole kwa lengo la kulitambulisha zao hilo na kuelimisha Wakulima na Wananchi umuhimu wa zao hilo na matumizi yake kwa ustawi wa afya ya binadamu lakini pia kujiongezea kipato.

Mkuu wa Idara ya Kilimo Ushirika na Umwagiliaji Bi. Priscilla Mhina amesema kuwa kupitia Idara yake walionelea ni vyema kulitambulisha zao la mbaazi kwa wakulima wa Kigamboni ili kuwanufaisha wakulima kwa kujiongezea kipato lakini pia kuimarisha afya ya mwili kutokana na faida ya kutumia zao hilo.

Katika mafunzo hayo wakulima waliwezeshwa kujua kanuni za kilimo ikiwemo za uchaguzi wa eneo kwa kilimo cha mbaazi, uandaaji wa shamba, uchaguzi wa mbegu bora, upandaji wa mbegu husani kwa kutumia kitalu cha tray ili kuepukana na vimelea vitakavyoathiri mmea, matumizi sahihi ya mbolea na matumizi sahihi ya Dawa katika ukuaji wa zao la Mbaazi.

Akizungumzia faida ya zao la Mbaazi Afisa Lishe Mkoa wa Dar Es Salaam Bi. Anna Andrew amesema kuwa Mbaazi inasaidia kuongeza damu, kuwapa hamu ya kula watoto wanaosumbua kula,ni zao zuri kwa kushusha pressure na kusaidia watu wanaohitaji kupunguza uzito ikiwemo na kuimarisha misuli ya mwili.

Kwa upande wake Afisa kutoka shirika  lisilo la Kiserikali la ADRA , Mama Dinabina amesema kuwa ushirikiano wa Serikali na Mashirika yasiyo ya Kiserikali ni mzuri kwani unasaidia kuwawezesha wananchi kupata fursa mbalimbali bila gharama yoyote ikiwemo ya zao la mbaazi ambalo limewawezesha kuwanufaisha watu wenye lemavu wa ngozi (Albino).

Teresia Januari ni Mkulima wa Kigamboni ,ameshukuru mafunzo yalitotolewa na kusema kwasasa kipaumbele kitakua ni zao la mbaazi kwani ameshatambua umuhimu wa zao hilo katika kuimarisha afya ya binadamu.

Mafunzo hayo yalikuwa ya siku moja ambapo yalihusisha mapishi ya aina mbalimbali yanayotokana na zao la Mbaazi.


wakulima wakipewa mafunzo ya nadharaia kabla ya kupokea mafunzo ya vitendo


Wakulima wakifuatilia mafunzo ya uoteshaji mbegu kwa kutumia tray.


Afisa Lise Mkoa Bi.Anna Andrew akiwaelezea wakulima umihimu wa zao la Mbaazi kwa afya ya Binadamu.


wakulima wakifuatilia mafunzo ya uoteshaji wa Mbegu za zao la Mbaazi kwa kutumia vitalu vya chini ya ardhi.


wakulima wakipewa mafunzo kwa kuangalia mfano wa mazao mengine.


mafunzo ya matumizi ya dawa za kilimo



Picha ya Pamoja baada ya mafunzo.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili Dereva daraja II na Katibu Mahsusi daraja III June 21, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili wa Mahojiano kwa Dereva daraja II na Katibu Mahsusi daraja III June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Manispaa ya Kigamboni May 24, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi kukusanya Taarifa za anwani za Makazi na Postikadi February 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Watendaji Kata, Mitaa na wakusanya data watakiwa kuwamakini kwenye zoezi la Uhakiki wa Anwani za makazi.

    June 30, 2022
  • RC Makalla aipongeza Kigamboni kwa Hati safi miaka 5mfululizo

    June 28, 2022
  • WATUMISHI MANISPAA YA KIGAMBONI WATAKIWA KUFUATA SHERIA NA KANUNI KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

    June 22, 2022
  • Jukumu la Ulinzi wa watoto ni letu sote; DC Fatma

    June 16, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Makalla aipongeza Kigamboni kwa Hati safi miaka 5 mfululizo
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa