• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

WAJUMBE BODI ZA USIMAMIZI WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

Posted on: April 29th, 2022

Naibu Meya Manispaa ya Kigamboni Mheshimiwa Stephano Waryoba amewataka wajumbe wa bodi za usimamizi wa Vituo vya Afya katika Hospitali na Zahanati  Manispaa ya Kigamboni kufanya kazi kwa weledi na kwa kujituma ili kutatua changamoto za kiafya kwa Wananchi.


Mheshimiwa Waryoba ametoa wito huo asubuhi ya leo katika hafla fupi ya uzinduzi wa bodi za usimamizi wa Vituo vya Afya iliyofanyika Hospitali ya wilaya ambapo amewataka kufanya kazi kwa kuzingatia muongozo wa utekelezaji wa bodi hizo


Kwa upande mwingine Kaimu Mganga mkuu wa Manispaa ya Kigamboni Ndugu Iddy Kheri amewataka wajumbe hao kuwa wazalendo kwa kubuni vyanzo vipya vya Mapato vitakavyosaidia katika upatikanaji wa vifaa tiba.


Kwa upande wake Mratibu wa Afya jamii wilaya ya kigamboni Bi. Dorice Batulaine amewataka wajumbe wa bodi hizo kuonesha ushirikiano kwa wataalamu wa afya katika vituo wanavyovisimamia na kuacha kufanya kazi kwa mazoea.


Bodi za usimamizi wa Vituo vya kutolea huduma za Afya zimeanzishwa kwa kuzingatia sheria kwa lengo la kuongeza chachu katika utoaji wa huduma za Afya



Mjumbe akitoa mchango wke wa mawazo katika mafunzo




Naibu Meya Manispaa ya Kigamboni akifungua mafunzo ya bodi za usimamizi wa Vituo vya Afya 



Wajumbe wa bodi za usimamizi wa Vituo vya Afya wakishiriki katika mafunzo ya usimamizi wa vituo

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za kazi kukusanya Taarifa za anwani za Makazi na Postikadi February 14, 2022
  • Tangazo la kuitwa Kazini March 02, 2022
  • Tangazo la mnada Manispaa ya Kigamboni February 22, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili February 25, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru Kigamboni waridhia miradi yenye thamani ya Bilion 1.4

    May 13, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Kigamboni waridhia miradi yenye thamani ya Bilion 1.9

    May 13, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Kigamboni waridhia miradi yenye thamani ya Bilion 1.9

    May 13, 2022
  • Wamiliki wa Daladala Wilaya ya Kigamboni watakiwa kuwasilisha changamoto za mapema ili ziaoatiwe ufumbuzi

    May 06, 2022
  • Angalia Zote

Video

Makala ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Mapato ya ndani kuishia mwaka wa fedha 2021 JUNE
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa