• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Wadau wa mapambano ya virusi vya ukimwi Kigamboni wakutana kupanga mikakati ya udhibiti.

Posted on: November 8th, 2018

Wadau mbalimbali wa Manispaa ya Kigamboni wanaojihusisha na mapambano na udhibiti wa maambukizi ya virusi vya UKIMWI wamekutana leo kwa lengo la kujadiliana namna itakayowezesha kuhakikisha mapambano dhidi ya ukimwi yanafikia lengo la 95 95 95 hususani kwenye makundi ambayo hayafikiwi ipasavyo.

 Mgeni rasmi wa semina hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mh.Maabad Hoja amesema kuwa  jamii imejisahau na kuona kuwa janga la ukimwi ni kama halipo wakati hali inaonesha kuwa kwa Wilaya ya Kigambnoni maambukizi ya ukimwi yamezidi kuongezeka kwa kipindi cha mwaka 2015 hadi 2018 badala ya kupungua.

 Ameongeza kuwa ni vyema elimu ikatolewa na wanajamii wote wakaelewa namna bora ya kubadili mifumo yao ya maisha ili kukabiliana na changamoto hii ya kuongezeka kwa maambukizi badala ya kupungua.

 Kwa upande wake mratibu wa Virusi vya UKIMWI Wilaya ya Kigamboni Bi.Happy Paschal alisema kuwa Wilaya ya kigamboni maambukizi ya ukimwi yameongezeka badala ya kupungua  ambapo waathirika wengi ni  wanawake .

 Amesema kuwa suala la maambukizi ni letu sote na kwamba elimu inatolewa lakini hamasa ya upimaji kwa jamii bado ni ndogo ukilinganisha na idadai ya watu waliopo , wengi hawajitokezi kupima hususani wanaume ambao huwategea wake zao pindi wanapokuwa wajazito ili kupata majibu ya maambukizi ya UKIMWI.

 Kuanzia Januari hadi Oktoba mwaka 2018, jumla ya watu 45704 wamefikiwa katika upimaji ambapo wanawake ni 28270 na wanaume 17434  na kati yao 25400 wamebainika kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI  kati yao wanaume 725 wanawake 1329. 

  Wadau walioshiriki katika semina hiyo  ni pamoja na JSI,JHPIEGO,ICAP,DAWATI LA JINSIA ,YOSSADO,KIPENET,KIYODEN,KONGA,CMPD, SAMAI GROUP NA WADAU WENGINE. 

 Aidha wadau wameshauriwa kushirikiana na kuona kila mmoja anaumuhimu katika mapambano dhidi ya virusi vya Ukimwi na kwamba jitihada kubwa zifanyike kuwafikia wananchi ambao  hawafikiwi na wanaishi mbali na vituo vya Afya ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.


Mstahiki Meya Wa Manispaa ya Kigamboni Mhe.Maabad Hoja akizungimza kwenye semina




Wadau wakimsikiliza Kwa makini Mratibu Wa kudhibiti maambukizi ya Ukimwi Wilaya



Baadhi ya wadau wakifatilia mjadala wa namna bora itakayosaidia kudhibiti ongezeko la maambukizi ya virusi vya Ukimwi.



Baadhi ya wadau wakifatilia mjadala wa namna bora itakayosaidia kudhibiti ongezeko la maambukizi ya virusi vya Ukimwi.


Insp.Fatuma kutoka dawati LA jinsia akizungimzia shughuli wanazofanya


Afisa mradi na muwezeshaji kutoka JSI akieleza shughuli wanazofanya katika kudhibiti maambukizi ya virusi vya Ukimwi


Afisa utekelezaji Wa ICAP Bi. Mitha Kenani akielezea shughuli wanazofanya


Emma Olotu Afisa mradi kutoka JHPIEGO akifafanua shughuli wanazofanya katika kudhibiti maambukizi ya Ukimwi na namna wanavyoyafikia makundi mbalimbali


Afisa Ustawi Manispaa ya Kigamboni akielezea umuhimu Wa kuwafikia sober house (Wajidunga madawa) katika kudhibiti na kupambana na maambukizi ya Ukimwi


Mchungaji akielezea namna wanavyoshiriki kupambana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi


Mwenyekiti Wa Madereva Bodaboda Wilaya ya Kigamboni akielezeauboreshwaji Wa huduma za upimaji Afya hususan kwenye mikusanyiko mikubwa ya watu

                         















Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa