• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

VIONGOZI KIGAMBONI WATAKIWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

Posted on: August 12th, 2023

NA Joseph Aemkiwa 

Katibu wa NEC itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Mheshimiwa Sophia Mjema amewataka viongozi wa Serikali kuhakikisha wanasikiliza na kutatua kero za Wananchi wote wanaowahudumia.


Mheshimiwa Mjema ametoa agizo hilo leo katika Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Mbunge wa jimbo la Kigamboni Mheshimiwa Faustine Ndugulile kwa lengo la kuwaelezea Wananchi utekelezaji wa Ilani ya chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Kigamboni.


AIidha amewataka viongozi hao kusimamia vizuri fedha zinazoletwa na Serikali kuu kwaajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo hususani ni barabara zinazojengwa ili kufungua uchumi kwa kurahisisha usafirishaji wa bidhaa mbalimbali pamoja na Wananchi.


"Chama kitaleta viongozi wanaowasikiliza wanachi na wanaowahudumia kwa unyenyekevu, umakini na weledi." Mheshimiwa Mjema alisema.


Kwa upande mwingine Mbunge wa jimbo la Kigamboni Mheshimiwa Faustine Ndugulile ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa. Dr. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha kwaajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa shule mpya ya Mkoa wa Dar es Salaam inayotarajiwa kijengwa ndani ya Wilaya ya Kigamboni.


Pia amewataka Wananchi kuwaamini Madiwani waliowachagua kwani wako kwaajili ya kuwahudumia na kuleta maendeleo ya Manispaa na Wilaya kwa ujumla.


Aidha ameeleza kuwa Ofisi yake imeweka kipaumbele katika ujenzi wa barabara kwani ni changamoto kubwa ndani ya Kigamboni na pia aleeza kuwa ujio wa mradi wa DMDP utasaidia kupunguza adha kwa kiasi kikubwa ambapo Kigamboni imepata 30% ambayo ni kuwa ukilinganisha na Wilaya nyingine 


Mbunge wa jimbo la Kigamboni Mheshimiwa Faustine Ndugulile akieleza utekelezaji wa ilani


Baadhi ya Wananchi walioshiriki katika mkutano wa Mheshimiwa Mbunge 





Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mheshimiwa Halima Bulembo akiwa na Mstahiki Meya wa Manispaa 

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa