• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Vikundi Manispaa. Ya Kigamboni vyapokea mikopo

Posted on: March 22nd, 2023

Manispaa ya kigamboni imetoa jumla ya Tsh. Mil 996.4  Mkopo wa  asilimia 10



Mkuu wa Wilaya Kigamboni Mh. Bulembo  amewataka wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 unaotokana  na mapato ya ndani  kuzitumia fedha hizo kwa malengo kusudiwa ambao wameuanisha katika maombi ya mkopo waliowezeshwa.


Akizungumza wakati wa hafla ya utoaji wa mikopo iliyofanyika leo Machi 22,2023 katika viwanja vya ofisi ya manispaa kigamboni Katibu Tawala  bi Pendo Mahalu aliyemuwakilisha Mkuu wa Wilaya ametumia nafasi hiyo kumpongeza  Mkurugenzi Mtendaji kwa jitihada zake za dhati za usimamizi wa sheria inayowataka kutenga asilimia kumi ya fedha  zinazotokana na mapato ya ndani na kuzitoa kwa makundi nufaika ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kwa mikopo isiyo na riba na yenye masharti nafuu.



‘Nikupongeze Mkurugenzi na wataalam wote ndani ya Manispaa hii kwa kuendelea kutenga fedha na kuzitoa kwa makundi kusudiwa, kitendo mkifanyacho ni cha kiungwana na mmekua sehemu ya kupiga vita umasikini kwa wananchi wa Manispaa hii’ alisema.


Veronica Kiluvia Afisa maendeleo ya Jamii aliyemuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji alisema ni fahari kwao kuona wamekua sehemu ya kuinua maisha ya wananchi wanaoishi  kigamboni.


‘ Leo mmeweza kupatiwa fedha, mmewezeshwa  kwenda kutimiza malengo mliyojiwekea kama kikundi   niwaombe mkazitumie fedha hizi vizuri na mrejeshe kwa wakati ili kila mwananchi anayeishi ndani ya halmashauri hii iweze kumsaidia kupitia mikopo isiyo na riba na yenye masharti nafuu.


Akiendelea Bi kiluvia alibainisha pamoja na kuwepo kwa mafanikio zipo changamoto zinazosababishwa na wachache ambao wamekua wagumu kurejesha mikopo hiyo inayopelea kukwamisha wengine kuipata mikopo kwa wakati stahiki.


Aidha wanufaika wa mkopo bi Vaileth Rweyemamu na  Amiri Kawale wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kupata mkopo na wameahidi kuirejesha kwa wakati ili kuwezesha wananchi wengine kunufaika.


Manispaa ya kigamboni imetoa jumla ya Tsh. Mil 996.4  ikiwa ni fedha ya asilimia 10 mapato ya ndani kwa  robo ya kwanza na ya pili kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa