• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Uwajibikaji, nidhamu ya mawakala,ushirikiano na kufuata miongozo ya Uchaguzi vyasisitizwa kuelekea uchaguzi.

Posted on: October 20th, 2020

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kigamboni   Bw. Erasto Kiwale amewaasa makatibu wa vyama vya siasa vyenye wagombea kusimamia majukumu yao kwa uaminifu, ili kuepuka lawama kwa kutoa ushirikiano na kuamini kuwa Uchaguzi unaongozwa na miongozo, kanuni na sera hivyo ni vyema kila mmoja akasimamia nidhamu ya mawakala.

Hayo ameyazungumza leo alivyokuwa kwenye kikao cha kujengeana uelewa kilichoandaliwa kwa ngazi ya Wilaya na makatibu wa vyama vya siasa vyenye wagombea ambacho kimefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Manispaa ambapo utimizaji wa wajibu kwa kila mmoja  umesisitizwa ili haki iweze kupatikana.

Aidha amewaasa viongozi kuwa chanzo cha utulivu na wawe wa kwanza kutoa elimu kwa wananchi kuwaelezea umuhimu wa kwenda kuwapigia kura viongozi wanaowahitaji kwani Serikali imetumia gharama kubwa kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na Utulivu.

Aidha Makatibu wa vyama vya siasa wamesisitiza utunzaji wa amani kwa maslahi ya Taifa hususani katika nyakati hizi za kuelekea uchaguzi kwani kunamaisha baada ya uchaguzi ambayo yanawagusa watanzania wote.

Kigamboni inavituo 417 vya kupigia kura kwa kata zote 9 na tayari orodha ya majina imebandikwa kwenye vituo hivyo vya kupigia kura.

Afisa Uchaguzi  Kigamboni akitoa maelezo ya idadi ya vituo kwa kila kata na kusisitiza Makatibu kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura.



Baadhi ya Makatibu wa vyama vya siasa vyenye wagombea


Katibu wa chama cha sisasa akitoa maoni na hoja za kuboresha zoezi la upigaji kura



makatibu wa vyama vya siasa

Msimamizi msaidizi wa jimbo akitoa elimu ya umuhimu wa uwajibikaji katika upatikanaji wa haki.


Msimamizi msaidizi wa Jimbo akitoa  maelezo ya majukumu ya watendaji wa vituo vya kupigia kura

.

Msimamizi msaidizi wa jimbo akitoa miongozo ya haki ya mwananchi  inayomruhusu mwananchi kupiga kura akiwa ndani au nje ya jimbo.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa