• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

uhuru torch

Posted on: May 30th, 2017

Jumla ya Miradi yenye thamani ya shilingi za Kitanzania  Bilioni 229,422,929,552 imezinduliwa na mbio za Mwenge kitaifa katika wilaya ya Kigamboni.

Miradi hiyo inajumuhisha miradi mipya iliyowekewa mawe ya Msingi, iliyofunguliwa pamoja pamoja na mingine ambayo ilizinduliwa ikiwa tayari imeanza kazi.

Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa mwaka 2017 ndugu Hamour Hamad Hamour aliwapongeza viongozi na watendaji wa Wilaya ya Kigamboni kwa ujumla kwa kuzindua moiradi mingi ambayo ilionekana kuwa na umuhimu mkubwa kwa wananchi wa Kigamboni na serikalia kwa ujumla. Katika risala yake Ndugu Hamour alisistiza wananchi kuitunza miradi hiyo ili iweze kuwa endelevu kwa manufaa ya kizazi cha baadaye.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mh. Hashim Mgandilwa alitoa wito kwa wananchi kuzingatia ujumbe wa mwenge ambao ni  "SHIRIKI KUKUZA UCHUMI WA VIWANDA KWA MAENDELEO YA NCHI YETU" ili kila mmoja aone ni wapi anahusika na kwa namna gani kwani katika uchumi wa viwanda kila mwananchi anayo nafasi kuhiriki akiwa mmopja au kama kikundi.

Pia Mh.Mkuu wa wilaya aliwakumbusha wananchi ya kuwa miradi inayozinduliwa kwa pamoja ni mali ya wananchi hivyo kila mmoja ana nafasi ya kuilinda.

Miradi iliyozinduliwa ni pamoja na Barabara inayounganisha Daraja la Mwl.Nyerere na barabara ya Kibada inayojengwa kwa ushirikiano kati ya shirika la NSSF na serikali kuu, Jengo la kuweka na kukopa cha Tulemane yenye akiba ya zaidi ya shilingi milioni 25,mradi wa ufugaji wa samaki wenye thamani ya shilingi milioni 400 pamoja na Jengo la kutolea huduma ya mama na mtoto katika Zahanati ya kisarawe II.

Miradi mingine ni Kiwanda cha Sruji cha Lake cement , nyumba za walimu 6 katika shule ya sekondari ya Somangila pamoja na jengo la kutolea huduma ya VVU/UKIMWI katika zahanati ya Mji mwema.

Miradi hiyo imetekelezwa kwa ushirikiano wa Manispaa ya Kigamboni,Serikali kuu, Wananchi pamoja na wahisani.


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa