• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

TIRDO na Kigamboni zaungana kuinua Uchumi kwenye Sekta ya Uwekezaji.

Posted on: November 16th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri pamoja na wataalamu wa Manispaa ya Kigamboni wakiongozwa na Mkurugenzi  Arch.Ng'wilabuzu Ludigija leo wamekutana na wataalamu kutoka  Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda (TIRDO) kwa lengo la kuanisha maeneo ya uwekezaji ili TIRDO waisaidie Manispaa katika suala zima la kuyatangaza na kutafutia wawekezaji.

Akizungumza kwenye kikao hicho Mkuu wa Wilaya amesema kuwa kumekua na changamoto ya mabadioliko kwa maana kasi ya utendaji wetu tofauti na ya Mhe. Rais hivyo ni vyema tukajitahidi kwenda kwa speedi nzuri ili tuweze kwenda vizuri kwenye malengo ya Kimanispaa na Kitaifa kwa ujumla wa kujenga Tanzania ya Viwanda.

Kwa upande wake  Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni  Arch.Ng'wilabuzu Ludigija amesema kuwa Kigamboni inawahitaji na kuwaomba TIRDO  waisaidie kutangaza na kuipata wawekezaji  kwasababu  fursa ya viwanda inaweza kuonekana zaidi kwa vitendo Kigamboni ukilinganisha na maeneo mengine  sababu maeneo mengi bado hayajaendelezwa.

Maeneo ya uwekezaji ambayo yameanisha Wilaya ya Kigamboni yapo kwenye sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi,Mazingira,Ardhi na Mipango miji ambapo jumla ya Michoro 85 katika kata mbalimbali imeshaainishwa na jumla ya viwanja 6,320 vimepimwa kwaajili ya matumizi mbalimbali ikiwa ni pamoja na maeneo muhimu ya taasisi za Serikali,eneo la ofisi za Mkurugenzi, ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Hospitali ya Wilaya ambao ni mpango wa matumizi bora ya ardhi.


Mkuu wa Wilaya Mhe. Sara Msafiri akieleza dhamira ya kuwahitaji TIRDO katika kuinua Sekta ya Uwekezaji na Tanzania ya Viwanda Wilayani Kigamboni.


Kaimu Mkuu wa Idara ya Uchumi Bw.Kalila King akiwasilisha maeneo ya Uwekazaji yaliyoanishwa ndani ya Manispaa ya Kigamboni.


Baadhi ya Wataalamu wa Manispaa ya Kigamboni wakifatilia kwa makini uanishwaji wa maeneo ya uwekezaji.

Baadhi ya Wataalamu kutoka TIRDO walioshiriki kwenye kikao cha uanishaji wa maeneo ya uwekezaji Kigamboni.

DR.Lugano Wilson Mkurugenzi wa maendeleo kutoka TIRDO akieleza  namna walivyoyapokea maeneo hayo ya uwekezaji na namna mchakato wa ushiriki utakavyoanza


Mkuu wa Idara ya MifugoManispaa ya Kigamboni,Bw. Aaron Bullu akitoa ufafanuzi wa fursa za uwekezaji zilizopo kwenye sekta ya Mifugo

Mkuu wa Idara ya Mazingira na Usafishaji Bw.Sixbert Kyaruzi akifafanua fursa ilipo kwenye sekta ya mazingira na namna ambavyo Manispaa imejipanga kukabiliana na changamoto



Afisa Mipango Miji Kigamboni Bw.Yona Nsenyi akielezea fursa zilizopo upande wa mipangomiji .

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa