• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

TEMESA yatakiwa kuandaa mpangokazi wa kuvifanyia matengenezo vivuko

Posted on: March 29th, 2022

Waziri wa ujenzi na uchukuzi Prof Makame Mbarawa ameagiza wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) kuandaa mpangokazi  wa kuvifanyia matengenezo vivuko vinavyotoa huduma katika eneo la Feri


Prof. Makame Mbarawa ametoa agizo hilo asubuhi ya leo katika ziara ya kutembelea na kukagua vivuko vinavyotoa huduma kati ya Wilaya ya Kigamboni na Wilaya ya Ilala ambapo alijionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na TEMESA haswa katika upande wa vivuko na amewataka kusaini Mkataba na Sangoro Marine ambaye ni Mkandarasi anaefanya ukarabati wa kivuko cha Mv Kazi kwa muda wa wiki 4 ili kivuko hicho kiweze kurejeshwa na kuendelea kutoa huduma kama awali.


Aidha amemtaka Mkandarasi (Sangoro marine) kuhakikisha anafanya kazi kwa kuzingatia muda uliowekwa ili kupunguza adha kwa Wananchi wanaotumia Vivuko hivyo


Kwa upande mwingine Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mheshimiwa Fatma Almasi Nyangassa amempongeza Mheshimiwa Waziri kwa kutembelea na kujionea shughuli mbalimbali katika Vivuko hivyo na ameeleza kuwa uwepo wa Vivuko vyevye uhakika ni muhimu sana haswa kwa wakazi wa Wilaya ya Kigamboni ambao hutegemea vivuko hivyo katika shughuli zao za kila siku.


Sambamba na hilo Meneja wa matengezo ya vivuko kutoka TESEMA bwana Lukombe King'ombe ameeleza kuwa mkataba wa matengezo ya MV Kazi utasainiwa siku ya ijumaa tarehe 01/04/2022 na  utagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 4.5 hadi kukamilika kwake


Aidha Mkurugenzi mtendaji wa Sangoro Marine bwana  Meja Sangoro amesema kuwa matengezo ya kivuko hicho yatahusisha ununuzi wa injini mpya, kubadilisha mabati yaliyooza, mfumo wa umeme na maji, pamoja na kupaka rangi na ameahidi kukamilisha kazi ndani ya muda uliopangwa.


Eneo na Feri linahusisha vivuko 3 ambapo vinavyotoa huduma kwa sasa ni 2 baada ya kivuko kimoja kuvuliwa kwa lengo la kufanyiwa matengezo, aidha Serikali ya awamu ya sita kupitia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imetenga bajeti ya kununua kivuko kikubwa cha  4 chenye uwezo wa kubeba watu 3,000



Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa