• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

TANROAD yaagizwa kufanya matengenezo barabara ya Kibada - Mwadonga - Kimbiji

Posted on: November 15th, 2023

Waziri wa ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa ameiagiza wakala wa Barabara Tanzania TANROAD kuipitia na kufanya marekebisho sehemu zote za Barabara zilizoathirika na mvua za El nino kutoka Kibada- Mwasonga hadi Kimbiji ili kupunguza kero ya usafiri kwa Wananchi kabla ya Mkandarasi anayetarijia kuanza ujenzi wa Barabara hiyo kwa kiwango cha lami hajaanza kazi.



Mhe. Bashungwa ameto agizo hilo leo Novemba 15.2023 katika ziara yake yenye lengo la kukagua Barabara zote zilizo athirika na mvua za El Nino pamoja na zile zilizopo katika hauta ya ujenzi.



Hata hivyo kaimu Mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD) Injinia. Dorothy Mtenga amesema hatua zote za ununuzi wa vifaa zimeshakamlika na ujenzi wa Barabara hiyo yenye urefu wa kilimita 41 kwa kiwango cha lami utaanza mara baada ya zoezi la utiaji Saini wa Mikataba kukamilika.


Aidha Injinia Dorothy amesema ujenzi wa Barabara hiyo utagharimu kiasi cha Tsh Bil 83.8 ikiwa ni fedha zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan na mkataba wake unatajarajia kuwa wa miezi 20 mpaka kukamilika.


Akiongea wakati wa ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mheshimiwa Halima Bulembo amesema kukamilika kwa Barabara hiyo kwa kiwango cha Lami kutapunguza adha ya usafiri kwa Wananchi wa Kata nne za Manispaa ya Kigamboni ambazo hutegemea Barabara hiyo katika kuendesha shughuli zao la kila siku.

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la Usaili nafasi ya Dereva daraja la II mwandishi mwendesha ofisi daraja la II na msaidizi wa kumbukumbu daraja la II September 19, 2023
  • Tangazo la kuitwa kazini kwa nafasi ya dereva daraja la II mtunza kumbukumbu daraja la II na mwendesha ofisi daraja II September 27, 2023
  • Tangazo la mnada Manispaa ya Kigamboni February 22, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Lishe ya Manispaa ya Kigamboni leo Jumatano Novemba 22.2023 imefanya kikao cha maandalizi ya awali ya Mpango na bajeti ya afua za Lishe kwa mwaka wa fedha 2024/2025

    November 22, 2023
  • TANROAD yaagizwa kufanya matengenezo barabara ya Kibada - Mwadonga - Kimbiji

    November 15, 2023
  • Baraza la Madiwani Manispaa ya Kigamboni limempongeza Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuwaletea fedha kwa ajili ya fedha za miradi ya maendeleo

    October 25, 2023
  • WANACHI, KATA YA PEMBAMNAZI WATAKIWA KUTUNZA NA KUITUMIA VIZURI MIRADI YA MAENDELEO

    October 17, 2023
  • Angalia Zote

Video

Wananchi wa Manispaa ya Kigamboni wapongezwa mama Samia kwa huduma bora katika Hospitali ya Wilaya
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa