• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Taarifa za ukatili wa kijinsia zatakiwa kutolewa mapema

Posted on: November 29th, 2022

leo Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imezindua Kampeni ya kupinga ukatili wa kijinsia kwa siku 16  iliyobeba kauli mbiu ya “kila uhai unathamani, tokomeza mauaji na ukatili dhidi ya wanawake na watoto” kwa kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule ya  Sekondari ya Paul makonda kwa lengo la kuchukua hatua madhubuti kama kizazi kinachoamini na kuthamini usawa wa kijinsia katika maeneo yote hapa nchini.


Akizungumza wajati wa uzinduzi   muwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Abdalla Kizega( Mtendaji wa Kata)  amesema kuwa, ukatili unaanza sehemu yoyote hivyo wanafunzi wawetayari kutoa taarifa mapema pindi wanapoona viashiria vya ukatili   ili kudhibiti vitendo hivyo kwasababu jambo hilo linatekekeza kizazi chetu.

Afisa ustawi Bi.Recho Ikamba wakati akitoa taarifa fupi  amesema kuwa manispaa ya kigamboni chini ya Maafisa Ustawi na Maendeleo ya jamii kwa kushirikiana na wadau wanaofanya kazi pamoja na Halmashauri wataendelea kuadhimisha kampeni hii kwa kutoa elimu  ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia.

Ameongeza kuwa Manispaa ya Kigamboni kwa kushirikiana na wadau pia  imeendelea kuimarisha ujenzi wa vituo  vya kijamii vya malezi, makuzi na maendeleo ya awali  ambapo mpaka sasa kituo kilichopo Mbutu kata ya Somangila  kimekamilika na kimeanza kutumika.

Aidha madawati ya kijinsia na watoto yameanzishwa katika vituo vya polisi Kigamboni ambapo hadi sasa kituo kimoja na vituo vidogo  vya polisi na maafisa polisi maalumu wamepatiwa mafunzo ya jinsi ya kushughulikia mashauri ya ukatili.

Elimu ya ukatili wa kijinsia  imetolewa kwa Shule 15 za Msingi na 6 za Sekondari, vituo vya bodaboda,vituo vya daladala,  wamiliki wa day care na makao ya watoto walio katika mazingira magumu.

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni katika kampeni hii ya siku 16 za kupinga ukatili imepanga kutoa elimu kwenye Kata  ambazo hazijafikiwa na kuhuisha kamati za kupinga ukatili kwa Mwanamke na mtoto (MTAKUWA).

Afisa maendeleo Bi.Suzan  Swai amewashukuru wadau wanaoshirikiana na Manispaa ambao ni Salama foundation,Kigamboni community centre, SMAUJATA, Woman Empowering and Entrepreneurship  Development organization(WEEDO), Women Action Towards Economic Development (WATED) na Dawati la jinsia na watoto Polisi Kigamboni na kuomba wadau wengine kujitokeza ili kufikia lengo la kutokomeza ukatili wa kijinsia.


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa