• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

SHERIA MPYA KIGAMBONI KUANZA KUTUMIKA JULY 2018.

Posted on: January 31st, 2018

Baraza la Madiwani la halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni limekubali kwa kauli moja kupitisha sheria Nane ndogo  pamoja na kanuni zake  mpya za halmashauri kama zilivyowasilishwa na Mkurugenzi wa halamshauri ndg Stephen Katemba.

Utungaji wa sheri hizo kutahitimisha matumizi ya sheria za awali ambazo baadhi ya sheria  ziliazimwa kutoka manispaa ya Temeke kutokana na Kigamboni kugawanywa toka Manispaa hiyo.

Sheria zilizowasilishwa na Mkurugenzi ni;

1. Sheria ndogo za ushuru wa huduma(service levy)

2. Sheria ndogo za ada ushuru

3. Sheria ndogo za matangazo

4. Sheria ndogo ya Megesho

5. Sheria ndogo za uvuvi na rasilimali za bahari ya Hindi

6. Sheria ndogo za masoko na mgulio

7. Sheria ndogo za usafi na mazingira

8. Sheria ndogo ya Burudani na

9 . Kanuni za kudumu za halmashauri

Akiwasilisha sheria hizo, Mkurugenzi aliiomba baraza la madiwani kukubali kupitishwa kwa sheria hizo baada ya hatua  za awali kupitishwa katika kila kata na mitaa yake, ambapo wananchi walishirikishwa katika kutoa maoni na hivyo hatua iliyokuwepo sasa ni kupitishwa katika baraza la madiwani na kisha kupelekwa  kwa  mkuu wa mkoa kwa hatua zaidi  ili ifikapo July 1,2018 sheria hizo mpya ziwe tayari kutumika .

Baada ya sheria hizo kupitishwa , diwani wa kata ya Kimbiji Mh. Sanya Bunaya alielezwa masikitiko yake juu ya muingiliano uliopo kati ya Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na Wizara ya Ardhi ambapo mpaka sasa wizara hiyo bado inaendelea na zoezi la  upimaji na umilikishaji wa ardhi katika manispaa ya Kigambani pamoja na kuwa Mamlaka iliyokuwa  chini ya wizara hiyo KDA kuvunjwa na majukumu yake yote kukabidhiwa kwa Halmashauri ya Kigamboni. Hoja hiyo iliungwa mkono na madiwani wote akiwemo diwani wa kata ya Kigamboni Mh. Dotto Misawa ambaye alienda mbali na kumuomba Rais Dr.John Pombe Magufuli kuingilia kati suala hilo kwani kuna dalili za kutoelewana kati ya Wizara ya Ardhi na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa