• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Rc Chalamila aagiza uchunguzi malipo upimaji

Posted on: August 18th, 2023

*Na Minde Honorata

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ameviagiza vyombo vya dola kuchunguza uhalali wa sh. milioni 800 iliyolipwa kwa Julius Maganga na kampuni ya upimaji na uuzaji wa ardhi inayojulikana kamamakazi estate" ambayo inatuhumiwa kuhusika na mgogoro wa umiliki wa ardhi katika eneo lililopo mtaa wa muhimbili kata ya Pemba Mnazi


Mhe. Chalamila ametoa maagizo hayo leo Agosti 18, 2023 wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa  eneo lenye mgogoro wilayani Kigamboni


Sambamba na hilo, ameagiza pia uchunguzi kufanyika kubaini kiasi cha kodi kilicholipwa kwa Serikali dhidi ya  mauziano  hayo na nani alilipwa


“OCD mliangalie hili swala kwa undani ikiwa ni pamoja na kuchunguza uhalali wa sh. Mil. 800 zilizolipwa na kampuni ya Makazi Estate  kwenda kwa Julius Maganga,"amesema Chalamila.


Katika maagizo yake hayo, amevitaka vyombo hivyo vya dola kutumia hadidu za rejea za taarifa za awali za kamati iliyowahi kuundwa kufuatilia changamoto hiyo ili kuweza kuzichunguza zaidi nyaraka za wale wote wanaotuhumiwa kuhusika na mgogoro huo.


Ameelekeza kuwa endapo kutatokea mtu ambaye atakataa  kuhojiwa kwa lengo la kusaidia kukamilisha uchunguzi huo, basi apatiwe taarifa haraka iwezekanavyo ili aweze kumchukulia hatua stahiki.


Katika kudhibiti uwezekano wa kuibuka mgogoro mwingine, Mkuu huyo wa  Mkoa ametoa maelekezo kwa Kamishna wa ardhi Mkoa wa Dar es Salaam  Ndg. Shukrani Kyando  kuwa kuanzia sasa kusitolewe hati zozote zinazohusiana na eneo hilo.


“Kuanzia sasa ni marufuku kutoa hati zaidi ya hizo ambazo zimeshatolewa na zile ambazo utakuja kujiridhisha mwishoni kama zinatakiwa kufutwa au kubaki,” amesema.


RC Chalamila pia ametoa maagizo kwa kamishna wa ardhi kupeleleza mchoro wa eneo la ardhi lenye ekari 150 kama taarifa za upimaji wa eneo hilo zipo ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni au la na akamuelekeza Mkurugenzi wa Manispaa Erasto Kiwale kuanza kufanya uhakiki wa kina kuhusu wamiliki wa maeneo yote yanayoonekana kuwa wazi.


Aidha, amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni @halima_bulembo kwa kuanzisha clinic ya Ardhi



Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa