• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

"Pikipiki hizi zitumike kuboresha utendaji kazi wa Serikali na si vinginevyo" Katibu Tawala Kigamboni,

Posted on: January 14th, 2021


Kauli hiyo imetolewa leo na mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Bi. Dalmia Mikaya (Katibu Tawala Manispaa ya Kigamboni) alipokuwa akikabidhi pikipiki 9 zenye thamani ya shilingi milioni 23.1 kwa Watendaji wa Kata 9 wa Manispaa ya Kigamboni ikiwa ni uwezeshwaji wa vitendea kazi  vitakavyowawezesha kutimiza majukumu yao vyema.

Dalmia amempongeza Mkurugenzi na menejimenti yake kwa kutekeleza agizo la Mkuu wa Wilaya la kuwawezesha watendaji wa Kata ili waweze kutekeleza vyema majukumu yao ikiwa ni pamoja na kuwafikia wananchi pale wanapowahitaji.

“Nawaomba sasa mkafanye kazi ,vitendea kazi hivi mkavitumie kwa shughuli za Serikali na kuleta matokeo chanya kwa wananchi na viongozi “ Alisema Katibu Tawala.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mhe.Ernest Mafimbo amameshukuru Mkuu wa Wilaya kwa wazo lake jema na waheshimiwa Madiwa kwa kuweza kupitisha fedha zilizomuwezesha Mkurugenzi kuetekeleza wazo hilo.

“Baraza la madiwani linaamini shughuli za serikali zitatekelezwa kwa ufanisi na sisi kama Madiwani tupo tayari kusimamia na kuhakikisha pikipiki hizi zinatumika kama ilivyokusudiwa”. Alisema Mhe. Mafimbo.

Kwa upande wake mwakilishi wa Mkurugenzi Bw. Wenslaus Lindi (Mkuu wa Idara ya Utumishi) amesema kuwa ni furaha kwa Manispaa kutekelezaji agizo la Mkuu wa Wilaya la kuwawezesha Watendaji wote wa Kata vyombo vya usafiri ambavyo vitawasaidia kutekeleza majukumu yao   ili shughuli kama za ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo,mapato, vibali vya ujenzi na kuhamasisha shughuli za maendeleo katika maeneo yao ya utawala zinafanyika vizuri..

Afisa Mtendaji Kata ya Somangila Bw. Muna Msafiri , amemshukuru Mkurugenzi na  Madiwani kwa kuwapatia vyombo vya usafiri vitakavyowasaidia kuweza kufikia maeneo yote kwa kuzingatia ukubwa wa kata ambapo kipindi cha mvua ilikuwa ni changamoto kufikiwa kwa urahisi.

Halmashuri ya Manispaa ya Kigamboni ina Kata9 na watendaji wote wa Kata wamepatiwa usafiri wa Pikipiki.

Pikipiki za Watendaji wa Kata.


Mwakilishi wa Mkurugenzi Bw. Wensalaus Lindi akitoa taarifa ya ununuzi wa Pikipiki kwa Viongozi.

Mtendaji wa Kata ya Vijibweni akipokea namba za Pikipiki atazyoitumia kwa utendaji wa kazi kutoka kwa Katibu Tawala Wilaya Bi. Dalmia Mikaya.


Mtendaji wa Kata ya Kisarawe II  akipokea namba za Pikipiki atazyoitumia kwa utendaji wa kazi kutoka kwa Katibu Tawala Wilaya Bi. Dalmia Mikaya.


Mtendaji wa Kata ya Kigamboni akipokea namba za Pikipiki atazyoitumia kwa utendaji wa kazi kutoka kwa Katibu Tawala Wilaya Bi. Dalmia Mikaya.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mhe. Ernest Mafimbo akizungumza kwa niaba ya Madiwani.

Mtendaji wa Kata ya Somangila Muna Msafiri akishukuru kwa kupewa usafiri kwa niaba ya Watendaji wa Kata.

Watendaji wa Kata wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa Pikipiki zao.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa