• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

NDUGULILE AGUSWA NA MAFANIKIO YA AKINA MAMA KIGAMBONI.

Posted on: January 29th, 2018

Naibu waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ambaye pia ni mbunge wa Kigamboni Mh.Dr Faustine Ndugulile, alionesha kufurahishwa na mafanikio yaliyofikiwa na akina mama wa Manispaa ya Kigamboni katika maonesho ya siku tatu katika viwanja vya Mji mwema Kigamboni.

Maonesho hayo yaliyowajumuisha akina mama toka katika kata tisa za Manispaa ya Kigamboni yalianza leo tarehe 25 na  kuhitimishwa siku ya jumamosi ya tarehe 27/01/2018.

Katika  siku ya kwanza ya maonesho hayo, Naibu Waziri alifika akiwa ndiye mgeni rasmi, alipata nafasi ya kujionea shughuli mbali mbali zinazofanywa na akina mama hao. "Nimepita kila banda, nimeona bidhaa zenu, mnajitahidi sana nami nawaahidi kuwaunganisha na taasisi zetu kama TFDA,SIDO na TBS ili bidhaa zenu ziweze kutambulika kitaifa na kimataifa" alisema Ndugulile.

Aliongeza kuwa bidhaa za akina mama zina uhusiano wa moja kwa moja na jamii zetu hivyo ni lazima sisi kama jamii na viongozi tuwaunge mkono ili waweze kufikia malengo yao ya kuwa na viwanda vidogo vidogo ndani ya manispaa na taifa kwa ujumla.

Naye Mratibu wa jukwaa la akina mama Bi.Edda Gweba , aalisema wana vikundi vya akina mama zaidi ya 80 ndani ya manispaa ambavyo vinavyozalisha bidhaa mbali mbali , hivyo wao kama halmashauri wanajitahidi kuwapa elimu ili waweze kuzalisha bidhaa bora zinazozingatia mahitaji halisi ya walaji na afya kwa ujumla. Ameongeza kuwa changamoto inayowakabili ni soko la uhakika la bidhaa zao kwani endapo watapata soko la uhakika watazalisha bidhaa bora zaidi na pia kuwawezesha kupiga hatua ya maendeleo.

Maonesho hayo yaliyokuwa na  kauli mbiu "wanawake tumia Jukwaa la wanawake Kufikia uchumi wa Viwanda'' yalihitimishwa siku ya jumamosi ya tare 27/01 /2018 katika viwanja vya shule ya Msingi Mji Mwema  ambapo wageni na watu mbali mbali walifika katika viwanja hivyo kujifunza teknolojia mbali mbali na pia kujipatia bidhaa zinazozalishwa na akina mama katika vikundi na viwanda vidogo vidogo ndani ya manispaa ya Kigamboni.



Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa