• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Mwenyekiti kamati ya siasa Mkoa Aridhishwa na kazi ya utekelezaji wa Ilani ya Chama

Posted on: May 30th, 2019

Kamati ya siasa Mkoa ya Chama cha Mapinduzi ikiongozwa na Mwenyekiti Wa Mkoa Bi.Kate Kamba na katibu Wa chama Mkoa Bw. Zakharia mwansasu Leo wamefanya ziara ya kikazi kukagua maendeleo ya miradi inayotekelezwa na Manispaa ya Kigamboni ikiwa ni utekelezaji Wa Ilani ya chama.

Mwenyekiti Wa Mkoa na katibu wamefurahishwa na maendeleo ya Ujenzi Wa majengo ya ofisi ya Mkuu Wa Wilaya na Mkurugenzi yanayojengwa Somangila, Ujenzi Wa Hospitali ya Wilaya na shule ya sekondari Kigamboni na kusema kuwa malengo ya ukamilishwaji Wa majengo hayo yafanyike kwa wakati uliopangwa ili wananchi waweze kupata huduma kwa karibu.

Aidha uongozi Wa chama umepongeza Manispaa kwa kutekeleza Miradi ( mradi wa shule ya sekondari kigamboni) kwa kutumia Mapato yao ya ndani mbali na uchanga walionao.

Wakizungumzia upande Wa barabara ambazo zipo chini ya Tarura , wamesema kuwa Kigamboni bado haina miundombinu mizuri ya Barabara na bajeti inayopangwa ya Bilioni 2.1 kwa mwaka kwa utekelezaji ni ndogo ambayo haiwezi kufikia mahitaji , na kusema ni vyema ikapangwa mikakati ya kuhakikisha miundombinu ya barabara inaboreshwa.

Aidha Mkurugenzi Wa Manispaa ya Kigamboni Ameshukuru uongozi Wa chama Wa mkoa kwa ziara waliyoifanya na kusema kuwa maelekezo yote waliyoyatoa yatafanyiwa Kazi kwani yeye pamoja na wataalamu wake wamehipanga kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa wakati na wananchi wanapata huduma wanayoitarajia kutoka kwa Serikali inayowaongoza.

Miradi iliyotembelewa Leo ni Ujenzi Wa Majengo ya Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya na Mkurugenzi, Ujenzi Wa Hospitali ya Wilaya, Ujenzi shule ya sekondari ya Kigamboni na barabara ya Maweni-Tungi-Vijibweni.

Mwenyekiti wa chama  Mkoa wa kwanza mbele Bi. Kate Kamba akiwa ametoka na wataalamu kukagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya.

ukaguzi wa jengo la kuhifadhia dawa

ukaguzi jengo la utawala la hospitali

Muonekanao wa ndani wa jengo la utawala

Mafundi wakiendelea na taratibu za kuweka miundombinu ya umeme kabla ya kupiga lipu

ukaguzi wa barabara  ya maweni-tungi-vijibweni

Barabara ya Maweni-Tungi-Vijibweni

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa