• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Mwenge wa Uhuru Kigamboni waridhia miradi yenye thamani ya Bilion 1.4

Posted on: May 13th, 2022

Mwenge wa Uhuru Kigamboni Ukimbizwa kwenye umbali wa 157.3 na kupitia miradi 7 yenye thamani ya Bilion 1.4 iliyopo katika Kata za Vijibweni, Kibada, KisaraweII, Pemba Mnazi, Somangila na Kigamboni .

mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg Sahili Geraruma ameipongeza Wilaya ya Kigamboni kwa kuweza kufanikisha kuridhiwa kwa miradi yote ambayo imekaguliwa na kuwekwa Mawe ya Msingi .


PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni mhe. Fatma Almasi Nyangassa akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ngw'ilabuzu Ludigija tayari kuukimbiza Kigamboni.


Wanakikundi cha Hamasa wakiwa eneo la Mapokezi



Mwenge unakimbizwa kuelekea Mradi wa Kwanza kutembelea kikundi cha Vijana Tamu Milk.



Mkimbiza Mwenge Kitaifa Ndg Sahili Geraruma Akitangaza kuridhishwa na kikundi.




Wanankikundi  cha wamama cha  Tuinuane wakifurahi kwa kupiga makofi baada ya Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kuridhia Kikundi chao

Nyaraka zikikaguliwa kuhusu kikundi cha Tuinuane.



Mkimbiza Mwenge Kitaifa Akiridhia kikundi cha wamama cha Tuinuane.



Mwenge wa Uhuru ukiwasili kwenye mradi wa Bweni la Wasichana wenye mahitaji Maalumu Shule ya Msingi Chekeni Mwasonga.



Uwekaji wa jiwe la Msingi katika Bweni la Wasichana Chekeni Mwasonga Viongozi wakifurahi kwa kupiga makofi


Ukaguzi wa Bweni la Wasichana.


Kituo cha Afya Tundwi Songani


Banda la Lishe.


Mkimbiza Mwenge Kitaifa akitangaza kuridhishwa na Mradi.


Viongozi wakishangilia kuwekwa kwa jiwe la Msingi Kituo cha Afya Tundwi Songani.



Kituo cha Afya  Kichangani

Muonekano wa majengo mawili pacha



Uwekaji wa Jiwe la Msingi kituo cha Afya Kichangani


Ukaguzi wa Barabara ya Mikadi Beach

Uwekaji Jiwe la Msingi Barabara ya Mikadi beach.


Risala ya Utii ikisomwa na Katibu Tawala Wilaya ya Kigamboni Ndg.James mkumbo

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa