• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Apeperusha bendera ishara ya kuanza safari kwa waendesha baiskeli wa EAC

Posted on: August 23rd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe Sara Msafiri leo kwa niaba ya Mkuu wa Moa wa Dar Es Salaam Mhe.Paul Makonda amewapokea Vijana  waendesha baiskeli (EACBIKE TOUR) kutoka nchi tano zinazounda jumuiya ya Afrika Mashariki wenye lengo la kuhamasisha mtangamano imara kwa wananchi .

Akizungumza nao leo walipofika ofisini kwake Mkuu wa Wilaya amesema kuwa , Mkuu wa Mkoa amepata majukumu mengine ya kikazi hivyo amemuagiza kuwapa ujumbe wa  kuwapongeza kwa uzalendo wao walio nao na kwamba waendelee kudumisha  umoja na mshikamano katika nchi zetu ili upendo na amani viendelee kutawala katika Jumuiya yao.

Aidha mkuu wa Wilaya ameakaribisha vijana hao tena hata mara baada ya kumaliza mbio zao za kuhamasisha mshikamano kwa wananchi wapatapo nafasi kufika kwenye Ofisi zake na za Mkuu wa Mkoa kusalimia nao watafurahi kuwaona tena Vijana wao.

“ Tumefurahi hamkujali changamoto za foleni za Mji wa Dar es Salaam na maeneo yake,  lakini mmefanikiwa kutembea maeneo mengi, tunawashukuru na umoja huu udumu “ Alisema Mkuu wa Wilaya.

Vijana hao waendesha baiskeli kutoka Nchi tanao zinazoundaJumuiya ya Afrika Mashariki  wameshukuru na kusema kuwa wamependa mapokezi mazuri waliyoyapata na wameyapokea yote waliyoelekezwa.

Safari hizi za baiskeli wameanzia Kampala kupitia Kenya-Tanazania-Burundi-Rwanda na Baadae kumalizia tena kwa kurudi  Uganda.

Kijana Muendesha Baiskeli akitoa umshukuru Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni kwa mapokezi na maelekezo waliyopewa.

picha ya pamoja na mkuu wa Wilaya Mhe. Sara Msafiri aliyevalia vazi la kitenge.

kijana kutoka Tanzania akipita na baada ya pendera ya umoja wa nchi za Afrika Mashariki kupeperushwa kuashiria safari imeanza

Mkuu wa Wilaya  Mhe. Sara Msafiri akiwakaribisha vijana waendesha baiskeli kutembelea ofisini kwake na kwa Mkuu wa Mkoa pindi wapatapo nafasi.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa