• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Mkuu wa Wilaya aahidi kushirikiana na wataalamu kutatua kero ya mifereji Kata ya Kigamboni

Posted on: September 21st, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri amewaahidi wananchi wa Kata ya Kigamboni kushirikiana na wataalamu ili kushughulikia mifereji inayoziba kipindi cha mvua na kusababisha maji kujaa kwenye maeneo ya makazi na tassisi za umma na kuwataka wananchi kushiriki nguvu kazi pindi itakapohitajika.

Kauli hiyo ameitoa jana alipokuwa akihitimisha ziara yake ya kikazi iliyolenga kujitambulisha na kutambua changamoto zinazowakabili wakazi wa Kigamboni ili kuona ni naman gani zinaweza kushughulikiwa kwa kushirikiana na wananchi na wataalamu wa Manispaa.

Mkuu wa Wilaya alisema kuwa Kigamboni ni uso wa Wilaya nzima hivyo inapaswa kuwa kivutio kwa watu wanaoingia Kigamboni ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu ya barabara kutoka kwenye barabara za vumbi kuwa za lami kila mtaa.

Aidha aliwataka wanawake vijana na watu wenye ulemavu kujikwamua na umaskini kwa kutumia vyema fursa ya asilimia 10  inayotolewa na Serikali kwa kujiunga kwenye vikundi vya biashara ili waweze kupata mikopo na kuinua hali zao za kiuchumi.

"Vijana acheni kuwategema wazazi na kubeti, hamuwezi kujikwamua kwa kucheza biko na kubeti, kujikwamua kwenye umasikini ni kuamua kutoka kwenye nafsi zenu,amueni kwa kujiunga kwenye vikundi muweze kupata mikopo"Alisema Mhe.Sara

Wakati huohuo Mkuu wa Wilaya aliwataka watumishi waliopo ngazi ya Mtaa kuwahudumia wananchi kutatua kero wanazokabiliana nazo badala ya kutegemea viongozi wa juu wakati kero nyingine zinaweza kutatuliwa na viongozi waliopo kwenye mitaa na kata.

Aliongeza kuwa tatizo linaposhindikana kwa ngazi mtaa na kata ndio ielekezwe kwa uongozi wa juu lakini isitokee wananchi kuzungumiza kero zao pindi viongozi wakubwa kama mkuu wa mkoa na mawaziri  wakati Wilaya yenyewe inauwezo wa kutatua kero zao.

Mkuu wa Wilaya  amemaliza ziara ya kutembelea Kata zote tisa za Wilaya ya Kigamboni kwa kujitambulisha na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi.



Viongozi wakiwa kwenye msafara kuelekea viwanja vya Swala Tuamoyo Kigamboni kwenye mkutano wa hadhara .


Katibu Tawala Wialaya ya Kigamboni Bi.Rahel Mhando akitambulisha viongozi waliofika kwenye mkutano huo wa hadhara.


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mhe. Hoja Maabad akisalimia wananchi waliofika kwenye mkutano wa hadhara.
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya alipokuwa akizungumza nao.


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa