• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

MIRADI ELIMU SEKONDARI 2022/2023 KWA MAPATO YA NDANI

Posted on: October 10th, 2022

BILIONI 1,225,251,681.56 KUNUFAISHA SEKTA YA ELIMU SEKONDARI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023


Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1,225,251,681.56 kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa lengo la kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya elimu upande wa sekondari.


Fedha hizo zitaenda kutekeleza miradi mbalimbali ambayo NI ukamilishaji wa ujenzi wa majengo ya Utawala,ujenzi wa shule mpya ya sekondari,ununuzi wa madawati,ukarabati wa madarasa kwa yale yanayohitaji ukarabati na umaliziaji wa miundombinu.


Kwa upande wa ukamilishaji wa ujenzi wa majengo ya Utawala kata ya Kisarawe II Shule ya sekondari Kisarawe II na  shule ya sekondari Nguva watanufaika kwa kukamilishiwa majengo hayo ambapo kwa kiasi kikubwa itatatua kero ya waalimu kukosa sehemu Sahihi na yenye  usalama katika utekelezaji wa shughuli zao wawapo shuleni .


Aidha utafanyika ukamilishaji wa miundo mbinu katika shule ya sekondari Paul Makonda.


Ili kutatua kero za kubanana kwa wanafunzi Manispaa pia imepanga kutumia fedha hizo kwa ajili ya ununuzi wa madawati 600 kwa shule za sekondari.


Pamoja na hayo  ili kutekeleza takwa la kiafya Manispaa kwa mwaka huu wa fedha itaboresha mazingira ya vyoo kwa kujenga  matundu 5 ya vyoo vya waalimu katika shule ya sekondari Kibada na matundu 5 katika shule ya sekondari Mizimbini.


Elimu ya sayansi na teknolojia imeshika Kasi katika Karne hii ili kuendana na Kasi hii Manispaa imeamua kuhakikisha inafanya ukamilishaji wa maabara katika Kata zote ili Kurahisisha masomo haya ya sayansi kufundishwa  kwa vitendo na kuleta ufanisi zaidi.


Jumla ya madarasa 32 yatafanyiwa ukarabati ambapo kwa kila shule yatakarabatiwa madarasa 4 ,shule hizo ni Tungi,Minazini,Vijibweni, Pembamnazi,Kisarawe II,Aboud Kumbe,Nguva na Kidete.


Aidha fedha hizo pia zitatumika kujenga shule mpya ya sekondari ya Mkoa itakayokuwa katika Kata ya Somangila.


Aidha umaliziaji wa ujenzi wa Maktaba,chumba cha ICT na vyoo vya walimu katika shule Shikizi  Tundwi Songani iliyojengwa kutokana na mradi wa SEQUIP.


Fedha hizo zilizotengwa ni kwa chanzo cha Mapato ya ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni.


Imetolewa na kitengo cha Mawasiliano Serikalini KGMC

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa