• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Milioni 514.4 zilivyoimarisha huduma ya Afya Kimbiji

Posted on: September 29th, 2020

Hadi kufikia Desemba 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ilikua miongoni mwa Halmashauri zilizobahatika kupokea fedha kutoka Serikali kuu chini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Kiasi cha milioni 400 ikiwa ni mpango wa maboresho ya vituo vya afya kote nchini.

Kituo cha Afya Kimbiji kilianza uboreshaji wake kuanzia Februari 2018 ambapo kililenga kujenga majengo ya mama na mtoto,chumba cha upasuaji,maabara ya kisasa, na jengo la kuhifadhia maiti ambalo hapo awali halikuwepo.

  Hadi kukamilika na kuanza kutoa huduma kwa kituo hiki kiasi cha shilingi  milioni 514.4 zimetumika ambapo  Serikali kuu ilitoa kiasi cha shilingi milioni 400 na Manispaa kuchangia kiasi cha  Milioni 114.4 ili kuboresha zaidi huduma za Afya kwa wakazi wa Kimbiji na maeneo ya Jirani.

Kituo hiki kimekamilika kwa asilimia 100  na  huduma zote zinatolewa ambapo hadi kufikia  Juni 2020 upasuaji 60  zimefanyika kwa ufanisi na mafanikio makubwa.

Aidha Watumishi wapatao 32 wa afya wenye fani mbalimbali wamepelekwa kwenye kituo hicho ili kuboresha utoaji wa huduma za afya zinazotolewa mahali hapo.

“Hadi kufikia juni jumla ya operation 60 zimefanyika, 25 za mama wajawazito na 35 nyingine, operation zote zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa”.

 

Muuguzi mfawidhi wa Kituo cha Afya Kimbiji  Magdalena Msambazi alisema, idadi ya wagonjwa imeongezeka kutokana na kuboreshwa kwa kituo hicho cha afya  kwani wamekuwa wakipokea wagonjwa wa rufaa wanaotoka kwenye zahanati za Pemba mnazi, Buyuni, Yaleyale puna na mwasonga.

Aidha alisema pia idadi ya wamama wanojifungua imeongezeka kutoka wazazi 15 waliokuwa wanazalisha kwa mwezi hadi kufikia wazazi 40 ambapo wazazi hao wamekuwa na amani ya kwamba ikishindikana kujifungua kawaida wanaweza kupata pia huduma ya upasuaji ambayo inatolewa kituoni hapo.

Muuguzi mfawidhi amemshukuru Rais wa awamu ya tano kwa kusaidia kuboresha huduma hizo za afya kwa wananchi wa Kimbiji na maeneo ya jirani  kwani wananchi wanofika kupata huduma wanapata kwa wakati tofauti na awali ambapo kulikua hakuna.

Kituo cha Afya Kimbiji pia kinausafiri wa gari la wagonjwa linalosaidia kusafirishia wagonjwa kupelekwa nje ya kituo cha kimbiji( Hospitali ya Vijibweni)  kwaajili ya kuhudumia wagonjwa pindi huduma iayopaswa kutolewa inaposhindikana kwa ngazi ya kituo hicho cha Afya.

Uboreshwaji wa kituo hiki cha Afya umewezesha wananchi wa Kimbiji na maeneo yote ya jirani kuepukana na adha ya kutembea umbali mrefu wa KM.75 waliokuwa wanaupata kwenda kufata huduma za afya mbali na makazi yao  lakini pia umeondoa vifo vya mama na mtoto vilivyokuwa vinasababishwa na ukosefu wa huduma ya haraka.


Muonekano wa jengo la mama na mtoto

wodi ya wazazi.


jengo pacha la maabara na chumba cha upasuaji

ndani ya chumba cha upasuaji

maabra ya kisasa

muonekano wa ndani ya maabara

muonekano wa ndani ya maabara na vifaa vya kisasa vikiwepo kwaajili ya utendaji kazi

muonekano wa ndani ya maabara.

Jengo la kuhifadia maiti

Majengo ya kutolea huduma ya kimbiji yaliyokuwa yanatumika kabla ya ujenzi wa majengo mapya

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa