• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Mikopo ya milioni 150 ya vijana na walemavu na vitambulisho 600 vya wazee vyatolewa kigamboni.

Posted on: May 22nd, 2019

Halmashauriya Manispaa ya Kigamboni leo imetoa mikopo isiyo na riba kwa vikundi vya vijanana watu wenye ulemavu kutoka kwenye asilimia 10 ya mapato yake ya ndani yenyethamani ya milioni 150 na vitambulisho vya wazee 600 kwaaajili ya huduma yamatibabu Bure.

Akizungumzawakati wa utoaji wa mikopo hiyo Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kiagmboni Mhe.Sara Msafiri amempongeza Mkurugenzi na Baraza la Madiwani kwa utekelezaji waagizo la Serikali na  namna ambavyowamewezesha kuinua ukusanyaji wa mapato uliopelekea upatikanaji wa fedha hizoza Mikopo.

Aidhaameviasa vikundi  31 vinavyopokea mikopohiyo kutumia vyema na kwa malengo yaliyokusudiwa ya kuinua uchumi badala yakufanyia mambo ambayo hayana tija na baadae kushindwa kurejesha Mikopo kwawakati ili wengine waweze kukopa.

 Wakati huohuo Mkuu wa Wilaya Mhe. Sara Msafiriamezindua awamu ya pili ya  utoaji wavitambulisho vya matibabu kwa wazee ambapo jumla ya wazee 600 watapatiwavitambulisho hivyo kwenye ngazi ya kata.

Mkurugenziwa Manispaa ya Kigamboni Arch.Ng’wilabuzu Ludigija amesema kuwa kwa kipindi chamwaka wa fedha  2018/2019 Manispaailitenga  asilimia kumi ya mapato yandani yenye thamani ya shilingi milioni 537.13 kwaajili ya utoaji wa Mikopo isiyo na Riba ambapo hadi sasa jumla yamilioni 400 zimekwisha tolewa kwa kipindi cha Julai 2018 hadi machi 2019.

Akizungumziautoaji wa Vitambulisho  vya matibabu kwawazee Mkurugenzi amesema kuwa awamu ya pili vitambulisho 1000 vitatolewa kwawazee  waliotambuliwa kwenye kata zotetisa ambapo kwenye uzinduzi  huu jumla yavitambulisho  600  vinatolewa kwa wazee hao.

Manispaaya Kigamboni ina Jumla ya Wazee 4808 waliotambuliwa ambapo  awamu ya kwanza ya utoaji wa vitambulisho vyamatibabu jumla ya wazee 2518 walipatiwa .

Mmoja wa wanakikundi akipokea hundi ya fedha kutoka kwa mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri

 Mkurugenzi wa Manipsaa ya Kigamboni Arch.Ng'wilabuzu Ludigija akizungumza na vijana na wazee walioshiriki kwenye hafla hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri akizungumza na vijana waliofika kukabidhiwa hundi za mikopo na wazee waliofika kupokea vitambulisho vya matibabu.

baadhi ya vijana waliofika kupata hundi za mikopo


Mmoja wa wazee akipokea kitambulisho cha matibabu bure kwa furaha kwenye uzinduzi wa awamu ya pili utoaji wa vitambulisho kwa wazee.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa