• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Mikoko elfu kumi (10000) kupandwa Manispaa ya Kigamboni kunusuru majanga

Posted on: April 5th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mh. Hashim Mgandilwa ameongoza zoezi la upandaji miti ya Mikoko katika fukwe za bahari ya hindi katika mtaa wa Pembacenter kata ya Pembamnazi.

Akiongea katika zoezi hilo jana , Mh.Mgandilwa amewapiga marufuku wananchi wa kata ya Pembamnazi kufanya shughuliza kibinadamu na kuwaasa kuwa walinzi wa mikoko hiyo kwani wao ndiyo wa kwanza watakao athirika kutokana na athari za uharibifu huo unaosababishwa na shughuli za binadamu .

 alisema kuwa eneo ambao limepandwa miti lenye  ukubwa wa zaidi ya hekari kumi limeharibiwa baada ya wananchi wa maeneo hayo na maeneo ya jirani  kukata miti na kuchoma mkaa jambo ambalo ni hatari kwa mazingira.

"Mbali na kilimo, wakazi wa kata  ya Pembamnazi  mnategemea shughuli za uvuvi wa bahari kuendesha maisha yenu ya kila siku ambapo mikoko ni mojawapo ya mazalia ya samaki hivyo ni muhimu kuhakikisha miti hiyo inakuwepo kila wakatai bila kuharibiwa kwa namna yoyote"Alisema  Mkuu wa Wilaya.

Kwa upande wa mratibu wa utunzaji wa mikoko kutoka TFS Ndg.Francis Kiondo amesema wao kama wakala wataendelea kutoa elimu kwa wananchi ambao ndiyo wanatakiwa kuwa walinzi .

 Aidha aliongeza kuwa katika maeneo ambayo mikoko imekatwa wananchi wameanza kuathirika baaada  maji ya bahari kuingia katika makazi na mashamba yao jambo ambalo lisipodhibitiwa  linaweza kusababisha janga kubwa la kimazingira ikiwa ni pamoja na mazalia ya samaki kutoweka.

Zoezi hilo lililoratibiwa na Idara ya Mazingiza na misitu kwa kushirikiana na wakala wa misitu nchini TFS limewezesha upandaji wa miti elfu kumi katika siku ya kwanza huku lengo likiwa ni kupanda miche laki moja katika ukanda wonte wa bahari ya Hindi.

Mkuu wa Wiyala akiongea na wananchi waliofika katika zoezi la upandaji miti kabla ya zoezi kuanza

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mh.Hashim Mgandilwa akiwa amebeba mfuko wenye miche ya Mikoko


Mkuu wa Wilaya Mh.Hashim Mgandilwa akipanda mche wa mkoo katika fukwe za bahari ya Hindi kata ya pembamnazi, pembeni ni viongozi na wananchi wakishiriki upandaji.

Katibu tawala wa Wilaya ya Kigamboni Bi.Rahel Mhando akipanda mche wa Mkoko

Maeneo ya fukwe yanavyoonekana baada ya wananchi wa maeneo hayo kukata miti kwa shughuli za kibinadamu.
Wanannchi wakisikiliza maelekezo ya namna ya upandaji miti


Wananchi wakisikiliza maelekezo ya namna ya upandaji miti

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa