• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Meya akabidhi Mikopo ya milioni 113 kwa vikundi 49 vya vijana wajasiliamli Kigamboni

Posted on: December 6th, 2018

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Mhe. Maabad Suleiman Hoja amekabidhi hundi za mikopo isiyo na riba kwa vikundi 49 vya vijana wajasiliamali kutoka katika kata za Mji mwema, Kibada, Kimbiji, Tungi na Somangila  yenye thamani ya Milioni 113.

Mhe. Maabad Suleiman Hoja amewasisitiza vijana kutumia mikopo  hiyo kama chachu ya  kuleta maendeleo katika jamii zao na kuwaongezea kipato kwa kuzingatia kuwa tayari vijana hao wameshapatiwa mafunzo elekezi  ya masomo ya biashara, utunzaji wa kumbukumbu za fedha, pamoja na utaratibu mzima wa urejeshaji wa mikopo hiyo.

Akisoma taarifa ya utoaji hundi za mikopo hiyo, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Ndg. Bakari Said Mnkeny amesema kuwa kabla ya vikundi vya vijana kupatiwa mikopo isiyo na riba taratibu zinazotakiwa kufanyika ni pamoja na usajili wa vikundi, uhakiki wa kikundi chenyewe kama kiko hai na usahihi wa taarifa zilizowasilishwa na kikundi ambapo taratibu hizo zimefuatwa katika kuvipata vikundi hivyo.

Aidha Ndugu Mnkeny ameongeza kuwa kwasasa Halmashauri imetoa Mkopo wa Milioni 113 kwa awamu ya kwanza kwa jumla ya vikundi 49 ambavyo vimekidhi vigezo vya kupatiwa mkopo huo na orodha ya vikundi vingine 33 inaendelea kuandaliwa kwaajili ya kupatiwa mikopo katika awamu ijayo.

Mwisho Mstahiki Meya amewasisitiza vijana kurejesha mikopo hiyo kwa wakati ili kuwezesha vikundi vingine kuweza kunufaika na mikopo hiyo katika awamu zijazo.



Pichani ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Mhe. Maabad Suleiman Hoja akikabidhi hundi za mikopokwa wawakilishi wa vikundi vya vijana wajasilimali




Pichani ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Mhe. Maabad Suleiman Hoja akikabidhi hundi za mikopo kwa wawakilishi wa vikundi vya vijana wajasilimali



Pichani ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Mhe. Maabad Suleiman Hoja akikabidhi hundi za mikopo kwa wawakilishi wa vikundi vya vijana wajasilimali




Maafisa maendeleo ya jamii wakitoa  maelekezo kwa viongozi wa kila kikundi mara baada ya kupokea hundi



Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa