• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Manispaa ya Kigamboni Yampokea Mkurugenzi rasmi

Posted on: August 21st, 2018

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndugu Stephen Katemba amewashukuru Baraza linalounda Madiwani, wakuu wa idara na watumishi wote kwa ushirikiano walioutoa kipindi cha uongozi wake na kuwaomba kuduudumisha kwa mkurugenz aliyekuja.

akizungumza kwenye makabidhiano ya Ofisi Ndg.Katemba amesema kuwa amefarijika kuwa mkurugenzi wa kwanza ndani ya Manispaa ya Kigamboni tangu kuanzishwa kwake na kwamba pale alipoishia anaamini pataendelezwa vyema na Mkurugenzi atakayeongoza kwa sasa.

"Wakuu wa Idara nawashukuru sana mmenifanya Rais azidi kuniamini na kuona  bado ninaweza kumsaidia na kuendelea kulitumikia Taifa, naomba ushirikiano huu mlionipa uweze kukua zaidi kwa mkurugenzi huyu ambaye leo ninamkabidhi rasmi Halmashuri ya Manispaa ya Kigamboni" Alisema Ndugu Katemba.

Aidha Aliongeza kuwa ametenda vyema kazi na uongozi wa  Meya akiwa anasaidiana na  Naibu meya kwa mazuri na mabaya na mapungufu kwakuzingatia binadamu sio malaika lakini waliweza kuvumiliana na kufanya kazi vyema na kufikia mahali pazuri.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndg.Ng''wilabuzu  Ndatwa Ludigija alisema Serikali imewaamini na ili kuweza kutekeleza yale ambayo Mh.Rais na Serikali kwa ujumla wake yanapaswa kufanywa kwa wananchi ni vyema kudumisha ushirikiano baina ya watumishi,Waheshimiwa madiwani na uongozi wote wa manispaa na kwamba yupo tayari kufanya kazi wakati wote.

Naye Mkuuuwa Wilaya ya Kigamboni Mhe.Sara Msafiri alitoa rai ya ushirikiano baoina ya uongozi wa Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ili kuweza kuwahudumia wananchi vyema.

Makabidhiano yalifanyika kwenye ofisi za Mkurugenzi jana mara baada ya kushiriki kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika kwenye ukumbi wa Kisaota Sekondari.

Ndg.Stephen Katemba akipeana mkono na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndg.Ng'wilabuzu Ndatwa Ludigija (aliyeshika funguo), Meya wa Manispaa akishuhudia.

Picha ya pamoja baada ya makabidhiano kutoka kushoto ni Ndg.Stephen Katemba, Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mhe.Maabad Hoja, Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Sara Msafiri na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndg.Ng'wilabuzu Ndatwa

Picha ya pamoja baina ya viongozi, Afisa Utumishi na Mwanasheria wa Manispaa.



Baraza likiendelea

Baaadhi ya watumishi wakisikiliza kwenye kikao

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni akijitambulisha na kuzungumza kwenye Baraza lililofanyoika jana Ukumbi wa Kisota Sekondari


Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa