• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

MADIWANI WAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO,UPO MRADI WA UUZAJI VIWANJA 355

Posted on: October 19th, 2022

MADIWANI  MANISPAA YA KIGAMBONI  WAFANYA ZIARA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA  MIRADI YA MAENDELEO


Hayo yamejiri 19/10/2022 ambapo Madiwani wa Manispaa ya Kigamboni wamekagua miradi 3 kwa lengo la kujionea utekelezaji wake .


Miradi hiyo ni ujenzi wa Soko la mazao linalojengwa katika kata ya Somangila ambapo mpaka kukamilika kwake jumla ya Tshs.milioni 90 zitatumika.Wakiongea katika majumuisho wajumbe wamehitaji kujua mikakati iliyopo katika kulitangaza soko hilo kwa kuwa lipo hatua za mwisho ambapo kaimu mkurugenzi ndg.Lawiso alieleza kuwa kupitia maafisa maendeleo ya jamii walioko Kata na kitengo cha Mawasiliano Serikalini utangazaji utafanyika ili kuwafikia wananchi licha ya hilo pia vikao vya awali vilifanyika kwa ngazi ya Kata na wananchi na wafanya biashara kuwajulisha,lakini pia utafanyika mpango wa kuhamishia mnada ambao huwa unafanyika Gezaulole kuhamia katika soko hilo jipya. Litakapokamilika soko hili litaiongezea halmashauri mapato kupitia ushuru utakaokuwa unalipwa na wafanyabiashara watakaokuwa wanatumia soko hili, pamoja na kusogeza huduma Kwa wananchi wa eneo hili ambao hawana huduma ya Soko.


Mradi mwingine waliotembelea ni mradi wa uuzaji wa viwanja eneo la Uvumba Kata  ya Kibada ambapo Manispaa imepima viwanja 355 kwa matumizi mbalimbali viwanja hivyo vinatarajiwa kuuzwa mapema hivi karibuni ambapo wamepata maelezo ya taratibu zilizobaki ili sasa kuanza zoezi rasmi la kuuza viwanja hivyo kwa wananchi,mradi huu unatarajiwa kuiongezea mapato Manispaa hii.




Pamoja na miradi hiyo MADIWANI pia wametembelea eneo la Manispaa la  shamba la Amadori lenye ukubwa wa ekari 2717,ambapo moja ya ushauri uliotolewa ni kufanyike mikakati kulipima eneo hilo na kuanza kufanya mikakati ya kuhakikisha miundo mbinu inayotakiwa inafanyiwa mipango ya kuwekwa.


 Ukamilikaji wa miradi hiyo  itaongeza tija katika kuongeza mapato ya Manispaa,lakini pia kuongeza huduma bora Kwa wananchi ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa Chama Tawala CCM.Kazi iendelee.


Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini KGMC

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa