• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Madiwani na Watendaji wa Kata wapewa mafunzo ya kanuni na miongozo ya utoaji mikopo ya 10%

Posted on: May 19th, 2021

Mkurugenzi Wa Halmashauri ya Manispa ya Kigamboni  Ndg.Erasto Kiwale amewasisitiza wakufunzi kuzingatia miongozo, kanuni na sheria zinazoongoza utoaji wa mikopo ya asilimia 10% ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika mafunzo  ili kuleta uelewa wa pamoja kwa Madiwani na watendaji wa Kata wanaopatiwa mafunzo hayo

Akizungumza wakati wa ufunguzi kwenye ukumbi wa Mikutano wa Manispaa, Mkurugenzi amesema kuwa wameona ni vyema kuandaa mafunzo hayo ili kuleta uwajibikaji wa pamoja kati ya wataalamu na Madiwani linapokuja suala la mikopo ya asilimia 10 ili kuondoa changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza

Aidha Mkurugenzi amesisitiza mafunzo kuwa shirikishi ikiwa ni pamoja na kujitahidi kuzingatia na kujielekeza kwenye mambo ya msingi.

 Mafunzo haya ya Muongozo wa Manispaa wa utoaji na usimamizi wa mikopo ni ya siku moja na yamewalenga Watendaji wa Kata na Madiwani kwasababu ndio wanaoshiriki moja kwa moja na wananchi kwenye maeneo yao amabapo pia Maafisa maendeleo ya Jamii na Baadhi ya Wakuu wa Idara wameshiriki.


Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndg. Erasto Kiwale akifungua mafunzo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Manispaa.


Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakifatilia mafunzo.

Waheshimiwa Madiwani wakifatilia Mafunzo


Watendaji wa Kata wakifatilia mafunzo

Baddhi ya Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata wakifatilia mafunzo


Baadhi ya Wakuu wa Idara wakifatilia mafunzo.


Mratibu wa Mikopo wa Manispaa ya Kigamboni Bi. Christine Ulaya akitoa mafunzo.


Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Happy Luteganya akitoa utangulizi wa mafunzo hayo.

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Tangazo la kuitwa kazini July 12, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAANDALIZI TAMASHA LA HAMASA YA SENSA YAWIVA

    August 11, 2022
  • JUHUDI ZA RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA KUINUA UTALII ZAUNGWA MKONO

    August 09, 2022
  • JUHUDI ZA RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA KUINUA UTALII ZAUNGWA MKONO

    August 09, 2022
  • WAJUMBE WA MENEJIMENTI YA MANISPAA YA KIGAMBONI WAUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAIA

    August 07, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Makalla aipongeza Kigamboni kwa Hati safi miaka 5 mfululizo
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa