• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Livestock na Fisheries
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Mipango Mija na Maendeleo ya Ardhi
      • Afya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi ya Sasa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba Mbalimbali
    • Picha

Madiwani kigamboni waielekeza menejimenti kuweka alama maeneo yote hatarishi na kuhamasisha kwa juhudi udhibiti wa maambukizi ya virusi vya Ukimwi

Posted on: October 26th, 2022

Baraza la Madiwani leo limemuagiza Mkurugenzi wa Manispaaya Kigamboni pamoja na timu ya  mejimenti kuweka alama ya katazo ya uendeelezaji kwenye maeneo yote hatarishi na kuandaa michoro pamoja na  kuandika andiko litakalosaidia kutafuta ufadhili utakaosaidia kujenga mkondo maalumu  wenye nguvu ya kukusanya  maji kuelekea baharini ili kunusuru Makazi ya watu yanayoathirika na maji yanayotawanyika kutoka kwenye bwawa la Boko linalochukua maji kuoka maeneo mbalimbali  kuelekeza baharini

Akizungumza wakati wa Mkutano wa Baraza lililofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa Meya wa Kigamboni Mhe. Ernest Mafimbo amesema Mtaa wa Magogoni ni eneo ambalo linaathirika kwa asilimia kubwa  kwani miundombinu ya kumwaga maji kutokea Daraja la Nyerere kueelekea baharini yanapita kwenye mkondo huo ambao unapita kwenye bwawa la boko lililopo kwenye mtaa huo  hivyo kipindi cha mvua  nyumba nyingi zinazungukwa na maji  hivyo kusababisha athari za watu na makazi kutokana na utambalale wa mkondo huo.

Akizungumzia upande wa udhibiti wa maambukizi ya virusi vya Ukimwi Meya amesema wamewaagiza wataalamu kurejesha utaratibu wa kupanga ratiba ya kuonesha sinema za uelimishaji juu ya ukimwi, kuona athari na kupata tahadhari ya kujiepusha  kwani janga hili bado lipo kwa kuangalia takwimu za kwenye vituo vyetu.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Kimbiji Mhe. Sanya Bunaya amesema kuwa wananchi wamejishahu na kutumia njia ambazo sio sio sahihi za kujikiinga na maambukizi ya virusi vya ukimwi na kuacha kufuata maelekekezo ya wataalamu ya namna bora ya kujikinga na maambukizi hali inayopelekea ongezeko la maambukizi hayo.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kigamboni Mhe. Yahaya Shabani amesema anashukuru kushiriki kikao cha  Baraza la Madiwani kwa mara ya kwanza tangu kuchaguliwa kwake ameona kigamboni inaendelea kukua kwa kasi hivyo kwa kusikiliza hoja za wataalamu na Madiwani anaamini itaendelea kufunguka zaidi kimaendeleo.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndg.Erasto Kiwale amesema amepokea maelekezo yote na atashirikiana na timu ya menejimenti pamoja na wadau wengine ili kuhakikisha yanafanyiwa kazi kama yalivyoelekezwa  kwa weredi.

Baraza la madiwani limejadiri pia taarifa za maendeleo za kamati mbalimbali ikiwa ni utaratibu wa kila mwisho wa robo ya kwanza kukamilika.

 

Baadhi ya Madiwani wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa taarifa za kila Kata Kwenye Mkutano wa Baraza robo ya kwanza uliofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa


Kutoka kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigamboni Mhe. Ernest Mafimbo, katikatti ni Mwanasheria wa Manispaa ya Kigamboni ambaye kwa muda alishika nafasi ya mkurugenzi Ndg.CHarles  Lawiso na mwisho ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Erasto Kiwale wakifuatilia uwasilishaji wa hoja mbalimbali wakati kikao cha Baraza kikiendelea.


Timu ya wajumbe wa menejimenti wa Manispaa ya kigamboni wakisikiliza kwa makini hoja zinazotolewa na madiwani kwenye mkutano wa baraza.



Timu ya wajumbe wa menejimenti wa Manispaa ya kigamboni wakisikiliza kwa makini hoja zinazotolewa na madiwani kwenye mkutano wa baraza.


Diwani wa Kata ya Kibada Mhe.Amini Sambo akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa kimaendeleo wa Kata ya Kibada.


Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Erasto Kiwale akifafanua baadhi ya Hoja zilizowasilishwa na Madiwani na kupokea baadhi ya maoni na maelekezo yaliyotolewa.

Matangazo

  • Namba za simu za Wakuu wa Idara Manispaa ya Kigamboni July 04, 2022
  • Tangazo la Usaili nafasi ya Dereva daraja la II mwandishi mwendesha ofisi daraja la II na msaidizi wa kumbukumbu daraja la II September 19, 2023
  • Tangazo la kuitwa kazini kwa nafasi ya dereva daraja la II mtunza kumbukumbu daraja la II na mwendesha ofisi daraja II September 27, 2023
  • Tangazo la mnada Manispaa ya Kigamboni February 22, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Lishe ya Manispaa ya Kigamboni leo Jumatano Novemba 22.2023 imefanya kikao cha maandalizi ya awali ya Mpango na bajeti ya afua za Lishe kwa mwaka wa fedha 2024/2025

    November 22, 2023
  • TANROAD yaagizwa kufanya matengenezo barabara ya Kibada - Mwadonga - Kimbiji

    November 15, 2023
  • Baraza la Madiwani Manispaa ya Kigamboni limempongeza Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuwaletea fedha kwa ajili ya fedha za miradi ya maendeleo

    October 25, 2023
  • WANACHI, KATA YA PEMBAMNAZI WATAKIWA KUTUNZA NA KUITUMIA VIZURI MIRADI YA MAENDELEO

    October 17, 2023
  • Angalia Zote

Video

Wananchi wa Manispaa ya Kigamboni wapongezwa mama Samia kwa huduma bora katika Hospitali ya Wilaya
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa