• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Kiwanda cha kutengeneza meli kujengwa kigamboni

Posted on: September 6th, 2018

Kampuni ya Gas Entec toka nchini Korea Kusini imeonesha nia ya kujenga kiwanda cha kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati kitakachotengeneza meli za aina mbali mbali.

Mtendaji wa kampuni hiyo ndg Sang-Kuk Lee alifika katika ofisi za Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Mnaispaa ya Kigamboni lengo likiwa ni kueleza mpango wao wa kuanzisha kiwanda hicho hapa nchini endapo serikali itakuwa tayari kuwapatia eneo katika fukwe za bahari ya Hindi zilizopo zilizopo Wilayani  Kigamboni.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe.Sara Msafiri aliwahakikishia wawekezaji hao uwepo wa maeneo katika wilaya ya Kigamboni na hivyo kuwakaribisha kwa mikono miwili, na kusema kuwa  uwepo wa kiwanda hicho utakuwa na umuhimu mkubwa wa ukuaji wa uchumi kwa Wilaya ya Kigamboni na nchi kwa ujumla kwani kitakuwa ni  kiwanda cha kwanza cha aina hiyo kujengwa hapa nchini.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Ndg Ngw’ilabuzu Ludigija alisema ofisi yake iko tayari wakati wowote kuwapatia eneo la uwekezaji katika Manispaa yake.

“Sisi tunatekeleza kauli mbiu ya Mhe.Rais ya kujenga nchi ya uchumi wa viwanda hivyo kwetu sisi hii ni fursa muhimu sana” alisema Ndg Ludigija.

Baada ya uwasilishaji wa taarifa za pande zote mbili za Manispaa na wawekezaji , wawekezaji hao pamoja na wataalam kutoka idara mbali mbali waliambatana kwa pamoja kutembelea maeneo ambayo wawekezaji hao walioneshwa  hatimaye kuafikiana na eneo la fukwe katika kata ya Pemba Mnazi ambapo walisema hatua itakayofuata  ni kuwasilisha andiko la mradi ndani ya muda mfupi kuanzia sasa.

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ina eneo la fukwe lenye urefu wa kilomita 75 kuanzia eneo la Feri katika kata ya Kigamboni hadi Pembamnazi ambali linafaa kwa uwekezaji wa aina mbali mbali kama vile Viwanda,Hoteli na uvuvi.


Muwekezaji akitoa ufafanuzi wa namna watakavyo tekeleza mradi wao kwa uongozi wa Wilaya ya Kigamboni.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni  Mhe.Sara Msafiri  akiteta jambo na muwekezajiwawekezaji wakipitia mchoro wa ramamani kuona eneo la uwekezajiwawekezaji na uongozi wa Wilaya ya Kigamboni wakitembelaeeo  fukwe PembamnaziPicha ya pamoja mara baada ya kutembelea eneo la pembamnazi.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni Arch.Ng'wilabuzu Ludigija akimkaribisha muwekezaji kuja kuwekeza eneo la fukwe Kata ya Pembamnazi.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa