• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Kikao Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Makala na walimu wakuu Wilaya za Dar es salaam

Posted on: October 10th, 2022

*RC MAKALLA AMSHUKURU RAIS SAMIA KUTOA FEDHA UJENZI WA MADARASA 618*


-Asema *Mkoa umepokea Bilioni 12 na milioni 360 kwa ajili ya Ujenzi huo*


- Aelekeza *Ujenzi wa vyumba vya madarasa ufanyike kwa Force Account*


- Ataka  *Ujenzi kuzingatia Ubora, thamani ya pesa na kukamilika kwa wakati*


*RC Makalla* amesema hayo leo *Octoba 7,2022* katika kikao chake na Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari DSM, Ukumbi wa Arnatoglo Mnazimmoja, ambacho *kilihudhuliwa na Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Maafisa Elimu, na Sekretarieti ya Mkoa* ikiongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa huo *Bi Rehema Madenge*


*Mhe Makalla* amemshukuru *Rais Samia Suluhu Hassan* kwa kutekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo kufuatia Mkoa huo kupewa kiasi cha Bilioni *12 na milioni 360* ambazo zimeelekezwa katika Ujenzi wa vyumba vya  *madarasa 618* sawa na *shule 108*


Aidha *RC Makalla* ameelekeza kujenga Madarasa ya mfano kwa kutumia *Force Account* huku akisisitiza pesa hizo zikatumike kujenga madarasa na sio kulipa fidia.


Vilevile *Mhe Makalla* amewataka kusimamia vizuri zoezi hilo kwa kuzingatia *thamani ya pesa na Ubora* bila kusahau kazi ifanyike kwa wakati *ifikapo Novemba 30,2022*  Ujenzi uwe umekamilika.


Sambamba na hilo *RC Makalla* amesema amepokea *migogoro 41shule za Sekondari na 25 Shule za msingi* ya uvamizi wa Ardhi maeneo ya shule hivyo amewataka *Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi* kwenda kumaliza migogoro hiyo kwa kuyatembelea maeneo hayo, *kuyakagua, Kuyajua vizuri maeneo hayo na kuweka mipaka*


*RC Makalla ameelekeza migogoro yote ikashughulikiwe kwa ufanisi na apatiwe taarifa ya Utekelezaji wa zoezi hilo*


Kwa Upande wa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni *Mhe Godwin Gondwe* kwa niaba ya wakuu wa Wilaya wengine amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kwenda kutekeleza maagizo yake aliyotoa ili ifikapo *Januari 2023* wanafunzi waingie katika vyumba hivyo vya madarasa.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa