• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

KIKAO CHA MAANDALIZI YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

Posted on: July 15th, 2022

KAMATI KUU KANDA YA MASHARIKI CHAFANYA KIKAO CHA PILI CHA  MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA NANENANE 2022


Kamati Kuu Kanda ya Mashariki ya maonesho ya Nanenane Leo hii 15/7/2022 imefanya   kikao cha pili cha maandalizi  ya maadhimisho  kwa 2022. Hayo yamejiri Leo 15/7/2022 katika  Ukumbi wa JKT uliopo Viwanja vya nanenane Morogoro.


 Akifungua kikao mwakilishi wa Mwenyekiti wa kikao hicho Mh Malima wa Mkoa wa Tanga  amewakaribisha wajumbe na kuwashukuru kwa kuja Kisha kuwakaribisha sekretarieti kwa ajili ya kuzipitia na kujadili agenda za kikao.


Kikao hicho kilihusisha agenda kadhaa kwa ajili ya maandalizi ikiwepo agenda ya taarifa ya Maandalizi na Bajeti ya Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki 2022.


Kwa mwongozo wa Mwenyekiti bajeti ilipitiwa na kujadiliwa kwa kina na kufanya maamuzi.


Aidha Kamati ilipata nafasi ya kutembelea mabanda yote  ya halmashauri za Kanda hii ili kujionea hali halisi ya maandalizi ikiwepo vipando .


Pamoja na hilo pia imeagizwa Maafisa Habari wa Halmashauri kuhusishwa katika kamati ya habari ya maandalizi ya nanenane.



Aidha imeshauriwa maafisa habari wa halmashauri kuanza uhamasishaji wananchi kushiriki maonesho katika viwanja vya Nanenane Morogoro.


Akifunga kikao Mwenyekiti amezitaka halmashauri kufanya ukaguzi wa vipando vyao katika mabanda Yao hapa viwanja vya Nanenane Morogoro na kila halmashauri ijipime na halmashauri nyingine ili kuboresha ili yawe katika hali njema pia kufanya maandalizi ya vikundi vya wakulima na mifugo.


Maadhimisho haya yamerejeshwa tena na serikali ya awamu ya sita ambapo 2021 hayakufanyika  yataadhimishwa 8/8/2022.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA HABARI NA MAWASILIANO MANISPAA YA KIGAMBONI

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa