• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Care Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu ya awali na Msingi
      • Kilima mifugo na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondary
      • Mipango na uratibu
      • Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu
      • Viwanda biashara na Uwekezaji
      • Miundombinu ,Vijijini na Mjini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa jamii na Lishe
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
        • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa ndani
      • Usimamazi wa Manunuzi
      • Maliasili na uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na uhasibu
      • Usimamizi na usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Utumishi
    • Huhuma za Kisheria
    • Usafi wa mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Michezo na Sanaa
  • Madiwani
    • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Huduma za jamii
    • Ratiba za Vikao
      • Vikao vya Waheshimiwa
      • Kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
      • Miradi ya Sasa
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha
    • Hotuba
    • Gazeti la Mtandaoni
    • Vipeperushi
  • Mifumo

Kigamboni yapongezwa kwa hati safi miaka miwili mfululizo

Posted on: June 19th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imepongezwa kwa kupata hati safi kwa miaka miwili mfululizo na kutakiwa kuchukulia pongezi hizo kama hamasa ya kufanya vizuri zaidi.


Pongezi hizo zimetolewa na Mkaguzi kutoka ofisi ya CAG Bw. Pastory Massawe wakati wa kikao maalum cha baraza la madiwani kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa Sunrise Hotel kwa ajili ya kupitia hoja za Mdhibiti na Mkaguzi wa Fedha za serikali (CAG).

Mkaguzi Wa hoja za Serikali amesema kuwa ili kuendelea kupata hati safi ni vyema sheria na taratibu zikafuatwa ikiwemo wakuu Wa idara na Vitengo kuhakikisha wanatoa ushirikiano Wa kutosha pindi nyaraka zinapohitajika kwaajili ya kufuta hoja ambazo hazinaulazima Wa kuwepo na kabla ya kuingia kwenye hatua ya menejimenti.


"Wakuu wa Idara suala la hoja si vyema kuwaachia wasaidizi wenu na hata mkiwaachia hakikisheni majibu yaliyotolewa mmejiridhisha nayo kabla ya kulabidhi Kwa Mkaguzi " Alisema Mkaguzi Pastory


Aidha Mkaguzi ametoa rai Kwa waheshimiwa madiwani na watendaji kudumisha ushirikiano na wakuguzi, na kujipanga vizuri kwenye kipindi cha Ukaguzi ili kusaidia kuondoa hoja.


Mstahiki Meya Wa Manispaa ya Kigamboni Mhe. Maabad Hoja amemshukuru Mkaguzi Pastory na kuahidi Kwa niaba ya madiwani kutoa ushirikiano pindi itakapobidi ili kuendeleza upatikanaji wa Hati safi.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Arch.Ng'wilabuzu Ludigija amemshukuru Mkaguzi na uongozi Wa Mkoa Kwa ushauri na maoni waliyoyatoa na kuahidi kusimamia sheria taratibu na kanuni katika kuhakikisha hoja zinapunguzwa na kuendelea kushikilia hati safi.


Akiwasilisha taarifa ya Halmashauri kwa niaba ya Mkurugenzi Mweka Hazina wa Manispaa ya Kigamboni Ulinyelusya Mwamtobe amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2017/2018 halmashauri ilikuwa na hoja 27 ambapo baada ya majibu kuwasilishwa na uhakiki kufanyika hoja 5 zilipendekezwa kufungwa na kusalia na hoja 22 ambazo zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji na uhakiki utafanyika wakati wa ukaguzi wa mwaka 2018/2019.


baadhi ya wakuu wa idara wa Manispaa

Mwekahazina wa Manispaa Ulinyelusya Mwamtobe akiwasilisha taarifa ya fedha kwa niaba ya mkurugenzi.

Matangazo

  • Tangazo la Frem za Biashara, Soko la Kibada February 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi February 24, 2025
  • Tangazo la uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Afya March 26, 2025
  • Tangazo la kuitwa kazini nafasi ya mwendesha mashine ya Bayometriki na Mwandishi msaidizi March 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIBADA - MWASONGA

    April 25, 2025
  • MANISPAA YA KIGAMBONI IMEPOKEA VITI MWENDO 35 NYENYE THAMANI YA TSH MIL 8

    April 08, 2025
  • MKANDARASI TOKA SUMA JKT ATAKIWA KUANZA MAPEMA MAANDALIZI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA CHA TUNGI

    April 08, 2025
  • Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara ndani ya Manispaa ya Kigamboni

    March 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Makala maalumu ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Kigamboni
Video zingine

Kurasa za karibu

  • Municipal councilors
  • Kigamboni Municipal History
  • Investment Opportunities
  • Fomu ya Maombi ya Kiwanja
  • Huduma za Afya na Orodha ya Vituo vya kutolea Huduma za Afya

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Gezaulole Kata ya Somangila, Kigamboni

    Anuani ya Posta: 36009 Dar es Salaam

    Simu: +255222928468

    Simu ya Mkononi: +255222928468

    Bara pepe: info@kigambonimc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki©2017 Manispaa ya Kigamboni . Haki zote Zimehifadhiwa